Wafahamu Wachezaji 5 Watakao Sajiliwa na YANGA SC Katika Dirisha Hili la Usajili

Wafahamu Wachezaji 5 Watakao Sajiliwa na YANGA SC Katika Dirisha Hili la Usajili

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Nadhani wengi wenu mlisikia kuwa kutakuwa naningezeko la wachezaji wasio zidi 5 wala kupungua 4 kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao.

1. Lazarous Kambole. [emoji736]

Huyu ni mshambuliaji wa ziada ambaye ni back up kwa fiston mayele. Yanga SC walipata kukiri kuwa kwenye scaut sessions zao hawakuweza kuona forward bora barani afrika hivyo wanahitaji muda zaidi. Hivyo basi wameamua kwenda na Lazarous.

2. Bernard Morrison. [emoji736]

Bernard anakuja kama pendekezo maalumu la Prof Nabi ambaye alimuulizia. Nabi aliambiwa changamoto za mchezaji lakini akasema anafahamu vyema namna ya kudeal na aina hiyo ya wachezaji.

3. Stephane Aziz KI. [emoji736]

Pendekezo lingine la Prof Nabi lilikuwa ni huyu mchezaji. Nabi alivutiwa na namna ya uchezaji wake alipokuja Lupaso na timu yake Asec Mimosas.

4. Saimon Msuva. [emoji735] (Mazingumzo wa mwisho yanaendele)

Saimon hakuwa pendekezo la mwalimu. Ujio wake unalengo la kuimarisha winga ya kulia kuelekea kwenye michuano ya kimataifa. Hii imetokea baada ya kukosekana kwa mchezaji katika eneo hilo ambaue anaweza akamaliza msimu na tally kubwa ya idadi ya magoli.

5. Lomalisa. [emoji735] (Mazingumzo wa mwisho yanaendele)

Beki ya kushoto inayokuja kutibu eneo hilo. Yassin Mustafa anaweza asiwe katika sehemu ya kikosi cha yanga sc cha msimu unao ili kupisha eneo lile liwe na wachezaji 2 tu na sio zaidi.

Wachezaji wakigeni ambao wako much more likely kuondoka msimu huu ni pamoja na:- Jesus Moloko na Heritier Makambo.
 
Nadhani wengi wenu mlisikia kuwa kutakuwa naningezeko la wachezaji wasio zidi 5 wala kupungua 4 kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao.

1. Lazarous Kambole. [emoji736]

Huyu ni mshambuliaji wa ziada ambaye ni back up kwa fiston mayele. Yanga SC walipata kukiri kuwa kwenye scaut sessions zao hawakuweza kuona forward bora barani afrika hivyo wanahitaji muda zaidi. Hivyo basi wameamua kwenda na Lazarous.

2. Bernard Morrison. [emoji736]

Bernard anakuja kama pendekezo maalumu la Prof Nabi ambaye alimuulizia. Nabi aliambiwa changamoto za mchezaji lakini akasema anafahamu vyema namna ya kudeal na aina hiyo ya wachezaji.

3. Stephane Aziz KI. [emoji736]

Pendekezo lingine la Prof Nabi lilikuwa ni huyu mchezaji. Nabi alivutiwa na namna ya uchezaji wake alipokuja Lupaso na timu yake Asec Mimosas.

4. Saimon Msuva. [emoji735] (Mazingumzo wa mwisho yanaendele)

Saimon hakuwa pendekezo la mwalimu. Ujio wake unalengo la kuimarisha winga ya kulia kuelekea kwenye michuano ya kimataifa. Hii imetokea baada ya kukosekana kwa mchezaji katika eneo hilo ambaue anaweza akamaliza msimu na tally kubwa ya idadi ya magoli.

5. Lomalisa. [emoji735] (Mazingumzo wa mwisho yanaendele)

Beki ya kushoto inayokuja kutibu eneo hilo. Yassin Mustafa anaweza asiwe katika sehemu ya kikosi cha yanga sc cha msimu unao ili kupisha eneo lile liwe na wachezaji 2 tu na sio zaidi.

Wachezaji wakigeni ambao wako much more likely kuondoka msimu huu ni pamoja na:- Jesus Moloko na Heritier Makambo.
 
Nadhani wengi wenu mlisikia kuwa kutakuwa naningezeko la wachezaji wasio zidi 5 wala kupungua 4 kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao.

1. Lazarous Kambole. [emoji736]

Huyu ni mshambuliaji wa ziada ambaye ni back up kwa fiston mayele. Yanga SC walipata kukiri kuwa kwenye scaut sessions zao hawakuweza kuona forward bora barani afrika hivyo wanahitaji muda zaidi. Hivyo basi wameamua kwenda na Lazarous.

2. Bernard Morrison. [emoji736]

Bernard anakuja kama pendekezo maalumu la Prof Nabi ambaye alimuulizia. Nabi aliambiwa changamoto za mchezaji lakini akasema anafahamu vyema namna ya kudeal na aina hiyo ya wachezaji.

3. Stephane Aziz KI. [emoji736]

Pendekezo lingine la Prof Nabi lilikuwa ni huyu mchezaji. Nabi alivutiwa na namna ya uchezaji wake alipokuja Lupaso na timu yake Asec Mimosas.

4. Saimon Msuva. [emoji735] (Mazingumzo wa mwisho yanaendele)

Saimon hakuwa pendekezo la mwalimu. Ujio wake unalengo la kuimarisha winga ya kulia kuelekea kwenye michuano ya kimataifa. Hii imetokea baada ya kukosekana kwa mchezaji katika eneo hilo ambaue anaweza akamaliza msimu na tally kubwa ya idadi ya magoli.

5. Lomalisa. [emoji735] (Mazingumzo wa mwisho yanaendele)

Beki ya kushoto inayokuja kutibu eneo hilo. Yassin Mustafa anaweza asiwe katika sehemu ya kikosi cha yanga sc cha msimu unao ili kupisha eneo lile liwe na wachezaji 2 tu na sio zaidi.

Wachezaji wakigeni ambao wako much more likely kuondoka msimu huu ni pamoja na:- Jesus Moloko na Heritier Makambo.
Washasema wamesajili wschezaji Watson wa ugenini. So tutaftie huyo mmoja
 
Eeeh hakuna mshambuliaji bora barani Afrika? Mzee umekula manini tena?

Au Afrika hiyo ya wapi ambako hakuna washambuliaji bora?
 
YANGA WAGENI

CHICO, MOLOKO, YACOUBA, NTIBAZONKIZA, MAYELE, BANGALA, DJUMA, MAKAMBO, AUCHO.

SIMBA WAGENI
MORRISON, KAGERE, BANDA, SAKHO, BWALYA, MUGALU, KANOUTE, INONGA, ONYANGO, CHAMA, LWANGA.

Yanga wana nafasi ya kusajili nafasi zaidi bila kupunguza wachezaji wa kigeni. Kwakuwa NTIBAZONKIZA amesepa so ni rahisi kuendelea na hao wengine au kupunguza wawili tu ili kufikia wa3. Na kwangu naona ni Bora kumuondoa USHINDI na MOLOKO.
 
Nadhani wengi wenu mlisikia kuwa kutakuwa naningezeko la wachezaji wasio zidi 5 wala kupungua 4 kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao...
Unazidi kudhihirisha elimu yako ya ujinga uliyohitimu hapo kwenye chuo cha kuzalisha wajinga wa Yanga
 
huu ni upuuzi mtupu na usajili wa tamaa tuu. lazarus kambole hakustahili kusajiliwa kuwa back up wa mayele. Hiyo nafasi ya back up(msaidizi) huwa kitaalamu huzibwa na kijana mzarendo. halafu kuwaondoa wachezaji watano na kuwaingiza watano hakuna tija kwa sababu ya kuuzoea mfumo wa kocha. Timu kila baada ya miezi sita inaonekana ngeni sasa hao wachezaji watakao uzoea mfumo wa Nabi watakaa pamoja lini?

Ukija dirisha dogo la usajili december utaona usajili wa watano tena. Ukija usajili mpya wa kuisha ligi utaona ndo lundo tena. jamani dont chew more than you can bite! Yanga mbona hatusikii kupandishwa kikosini hao Yanga kids? kulikoni? YANGA USIDHARAU MADAFU KUMBUKA MAEMBE NI MATUNDA YA MSIMU TUU!
 
kwa mwendo huu kweli tutaingia mechi za kimakundi?
 
huu ni upuuzi mtupu na usajili wa tamaa tuu. lazarus kambole hakustahili kusajiliwa kuwa back up wa mayele. Hiyo nafasi ya back up(msaidizi) huwa kitaalamu huzibwa na kijana mzarendo. halafu kuwaondoa wachezaji watano na kuwaingiza watano hakuna tija kwa sababu ya kuuzoea mfumo wa kocha. Timu kila baada ya miezi sita inaonekana ngeni sasa hao wachezaji watakao uzoea mfumo wa Nabi watakaa pamoja lini?

Ukija dirisha dogo la usajili december utaona usajili wa watano tena. Ukija usajili mpya wa kuisha ligi utaona ndo lundo tena. jamani dont chew more than you can bite! Yanga mbona hatusikii kupandishwa kikosini hao Yanga kids? kulikoni? YANGA USIDHARAU MADAFU KUMBUKA MAEMBE NI MATUNDA YA MSIMU TUU!
Kijana mzalendo kama mchezaji gani huyo mwenye level sawa na mayele?.alafu hiyo yakusema kitaalamu lazima back up awe mzalendo umeitoa kwenye kanuni gani za soka?.mwalim anatengeneza kikosi cha mashindano cha msingi asitoke nje ya taratibu za usajili.
 
Makambo angebaki tukamrudisha Chico
Hata mimi naona Yacouba Sogne, Moloko na Chico Ushindi ndiyo wangepewa mkono wa kwa heri. Halafu nafasi zao zingejazwa na majembe mengine.

Makambo bado ana umuhimu wake kule mbele.
 
Back
Top Bottom