Wafalme hutoka katika familia maskini

tatizo hatumtangazi tunampambanisha na
unapopambanisha lazima yawepo makundi mawili.sasa hapo lile kundi la pili huonekana hawampendi,wakati kiukweli wapo sahihi maana ni mpambano.kumbe
tungemtangaza tu badala ya kumpambanisha na yeyote.
We ukitaka kuamini uliza hivi samatta na chuji nani zaidi uone kazi.lakini kwa sasa wote tunamfurahia samata
Sababu tumeamua kumtangaza na sio kumpambanisha.ni hayo kwanza
 
Mkuu, ukitaka ona USHEN'I wetu subiri sikua atakaerudi na kutua pale JNIeapoti....... hapo utaona maAfisa wa "" "" ""
 

Wanafanana kitu kimoja, WOTE WAZINZI..wanatofautiana kitu kimoja..DIOMOND ANAUTANGAZA SANA UZINZI WAKE kuliko mwenzake..hana aibu hata kidogo!!....
 
Huyu Jamaa ni Another Brain, Another Voice aiseee.
 
najivunia kuwepo kipindi ambacho huyu jamaa anafanya mziki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…