Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamzidi nini mkuu?Diamond kamzidi kiba, japokuwa simkubali domo
"Huwa nawaza sana zile tuzo mashauzi airport" ni moja kati ya mistari kwenye wimbo wake wa UtanipendaKama yapi mkuu
hahahahahahahhhhahahahahhaWe jamaa una mimba changa nin?
Umecheeeeka hadi huku nimekusikia!!hahahahahahahhhhahahahahha
yaan ilivyoandikwa, imebidi nicheke kwa loudspika lolUmecheeeeka hadi huku nimekusikia!!
Cheko lote, basi ungeshare nami !!yaan ilivyoandikwa, imebidi nicheke kwa loudspika lol
tatizo hatumtangazi tunampambanisha naIngelikuwa Daimond Mkenya au katokea kenya basi SIFA na Taadhima kubwa ingetawala dunia...
ila nasikitika waTZ wa bongo ni watu tusiependa mwenzetu
afanikiwe (sii D/P ila yyote tu) !!
Huyu jamaa kajituma sana kufikia hapo alipo...Hongera !!
MK254
hebu njo utusaidia kuwaPromot
wandugu (majirani zako)!!
Frankestain Pongezi kwako
Mkuu, ukitaka ona USHEN'I wetu subiri sikua atakaerudi na kutua pale JNIeapoti....... hapo utaona maAfisa wa "" "" ""tatizo hatumtangazi tunampambanisha na
unapopambanisha lazima yawepo makundi mawili.sasa hapo lile kundi la pili huonekana hawampendi,wakati kiukweli wapo sahihi maana ni mpambano.kumbe
tungemtangaza tu badala ya kumpambanisha na yeyote.
We ukitaka kuamini uliza hivi samatta na chuji nani zaidi uone kazi.lakini kwa sasa wote tunamfurahia samata
Sababu tumeamua kumtangaza na sio kumpambanisha.ni hayo kwanza
fursaMkuu, ukitaka ona USHEN'I wetu subiri sikua atakaerudi na kutua pale JNIeapoti....... hapo utaona maAfisa wa "" "" ""
Tatizo lililopo ni kwamba watu hata hawajui ni kitu gani chenye kushindanisha Ali k na diamond. Kina kitu ambacho lazima ukubali kuwa Diamond kamzidi Kiba,lakini pia kuna kitu ambacho lazima ukubali kuwa Kiba kamzidi Diamond.
Lakini kinyume na hivyo ndio maana watu wanatokwa mapovu tu kila siku.
Hata wakati wa kuja Masiha wote hawakumpendaKweli hakuna wote kukupenda na hakuna wote kukuchukia..ila utabaki na wapenzi wengi !! ndo walimwengu hao !!
Hata ujio wa Kristo Bwana mkuu wa Wafalme wengi hawakumpenda alivyokuja ulimwenguni.Ni msanii mwenye mashabiki wengi na maadui wengi pia msisahau hilo.
Exactly ... hata mitume (ASWS) walipambana na masyibu na wakorofi.... !!Hata wakati wa kuja Masiha wote hawakumpenda
Mkuu usiviandike utawaumiza heatersDiamond bado hajawa fully packed...kuna vitu ntaviandika badae ambavyo vinamshusha...
We huwezi kutofautisha Fact na mashauzi tatizo lako we MZARAMO.tatizo lake ana mashauzi sana
inamana anamzidi yule dada muimba taarabu?tatizo lake ana mashauzi sana