Wafalme wa Urusi walivyoishi kabla ya Mapinduzi ya Kijamaa

Wafalme wa Urusi walivyoishi kabla ya Mapinduzi ya Kijamaa

Bon M walikua wanajua sana mkuu yaani walikua njema na wabunifu hatari nazikubali sana ngoma zao hua najiuliza walipata wapi ile idea ya kuimba nyimbo za kiswahili ?
Enzi zile wimbo wa malaika ulipata umaarufu sana duniani baada ya kuimbwa na Miriam Makeba na Harry Belafonte, na wimbo wa jambo bwana ulikuwa maarufu kutoka Kenya ambayo ndiyo ilikuwa nchi maarufu kwa Afrika ya Mashariki.
 
Asante mkuu wangu nasikia malkia katika jumba la Tsar alimpa jamaa kila anachotaka aisee ila wanawake bwana hua wanawaamini wachungaji,manabii na mitume wao kuliko hata waume zao yaani ndio maana gwaji boy hua anawavua hadi vyupi kondoo wake walionona,
Yaani wao wanawaona wachungaji wao Kama Yesu wa pili aisee!
Ni kweli ,mfalme Nicholas alipoenda vitani mkuu ndugu yetu Gregory Rasputin akajiachia hekalu ale mema ya nchi.Lakini wale wadau wa ufalme jawakufurahi maana alikuwa akiingilia maslahi yao ,hao ndo walimmaliza.
 
Asante mkuu wangu nasikia malkia katika jumba la Tsar alimpa jamaa kila anachotaka aisee ila wanawake bwana hua wanawaamini wachungaji,manabii na mitume wao kuliko hata waume zao yaani ndio maana gwaji boy hua anawavua hadi vyupi kondoo wake walionona,
Yaani wao wanawaona wachungaji wao Kama Yesu wa pili aisee!
Ni kweli ,mfalme Nicholas alipoenda vitani mkuu ndugu yetu Gregory Rasputin akajiachia hekalu ale mema ya nchi.Lakini wale wadau wa ufalme jawakufurahi maana alikuwa akiingilia maslahi yao ,hao ndo walimmaliza.
 
Asante mkuu wangu nasikia malkia katika jumba la Tsar alimpa jamaa kila anachotaka aisee ila wanawake bwana hua wanawaamini wachungaji,manabii na mitume wao kuliko hata waume zao yaani ndio maana gwaji boy hua anawavua hadi vyupi kondoo wake walionona,
Yaani wao wanawaona wachungaji wao Kama Yesu wa pili aisee!
Ni kweli ,mfalme Nicholas alipoenda vitani mkuu ndugu yetu Gregory Rasputin akajiachia hekalu ale mema ya nchi.Lakini wale wadau wa ufalme jawakufurahi maana alikuwa akiingilia maslahi yao ,hao ndo walimmaliza.
 
Msichafue watu bwana, watu wanaoona wao kwa wao (Inbreeding) ndiyo wenye hatari kubwa ya kupata genetic disorders. Hivi unawafahamu The Hapsburg Family ???

Mkuu kuna ukweli fulani katika hoja ya jamaa. Ukichunguza kwa umakini utagundua kuwa wanafamilia za kifalme kule Ulaya karibu wote ni ndugu. Kwa mfano, wanafamilia wa Saxe-Gotha ndio wafalme wa Uingereza toka enzi za Victoria. Malkia Victoria wa Uingereza na Kaiser Wilhem II wa Ujerumani na yule Tsar Nicholas Alexander wa Urusi walikuwa ndugu na mifano ni mingi sana. Sasa kitendo kuoleana kilisababisha magonjwa mengi ya kurithi kwa wanafamilia.
 
Back
Top Bottom