Big dady 11
Senior Member
- May 21, 2023
- 109
- 128
- Thread starter
- #21
Sawa mkuuJifunze Copywriting ukamilishe package
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuJifunze Copywriting ukamilishe package
Business plan zipo ila wawekezaji hamnaUna business plan tuwekeze? Au bado unataka kuajiriwa?
Wakuu mko poa.
Nmekuja kutafta fursa acha niende kwenye point..
Na ujuzi wa videographer, photographer graphics designerna content creater.
Na uzoefu wa Zaid ya miaka 5.
Aina za Kazi nilizowahi kufanya ni;
*Kushoot na kuedit video na upigaji picha kwenye events(harusi,send off, kitchen party, etc)
*Kushoot na kuedit music videos.
*Kutengeneza logo na posters.
*Kushoot na kuedit movies.
*Kutengeneza mahudhui(content) mbalimbali za kibiashara na za kisanaa(filamu)
*Uendeshaji wa social media ( YouTube channel)
Km Kuna taasisi, kampuni au ofisi ya video production inahitaji mtu wa ujuzi huu basi nicheki tufanye kazi
Program nnazotumia ni
Adobe premiere
Adobe Photoshop
Adobe aftereffect
Adobe illustrator
Adobe audition
Adobe Lightroom
Power point
Kwa mawasiliano zaid 0692477610.
Nikutumie Kaz nilizo fanya.
Pia km unahitaji kufungua biashara ya photo and video studio karibu tunaweza kufanya Kaz Nina uzoefu sana upande huo..
Pia ata ukiwa na duka, kampuni, taasisi mnahitaji mtu wa video na picha au wa graphics designer kwa part time au full time job pia nicheki tunaweza kufanya Kaz.
📷Ujue sisi ni watu wa behind the scenes hivyo sio wazuri kwenye kujielezea.😁
Nicheki kwa maswali au ushauri wowote uhusianao na Mambo ya video and photo production kama ;
*Uandaaji wa matangazo ya video.
*Uandaaji wa matangazo ya picha ( posters)
*Uandaaji wa documents (makala)
*Uandaaji wa filamu.
*Uandaaji wa music videos.
*Uandaaji wa photoshoot.
Na jambo lolote linalosusiana na tasnia ya video production nichek nitakujibu chochote na kukushauri/kushauriana.
0692477610 watsapp
MkuuUna business plan tuwekeze? Au bado unataka kuajiriwa?
Una uhakika 🤔