WAFANYA BIASHARA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA KUTOKA KENYA, KUTIMKIA TANZANIA KUKWEPA ATHARI ZA MAANDAMADO YASIYOKOMA KENYA.

WAFANYA BIASHARA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA KUTOKA KENYA, KUTIMKIA TANZANIA KUKWEPA ATHARI ZA MAANDAMADO YASIYOKOMA KENYA.

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
wanajipanga na kukusudia kuhamishia mitaji yao nchi jirani Africa Mashariki zenye amani ikiwa ni pamoja na Tanzania, kukwepa uharibifu wa uwekezaji woa huko kenya ambao baadhi yao kwa kiasi tayari wameathirika, kutokana na kukosekana usalama wa kutosha...

Je,
hii ni fursa muafaka ya kiuchumi na ya kipekee sana kwa Tanzania kutanua wigo na kuboresha mazingira yake ya kibiashara na uwekezaji kua bora na mazuri zaidi, ili wawekezaji na wafanya biashara hao wakija, wasiondoke na mitaji yao tena hali ya usalama itakaporejea huko walikotoka?

lakini pia hii ni fursa ya ajira kwa vijana Tanzania?
wafanyabiashara siasa waTanzania waliodai wanahamia Zambia kwa sababu zao binafsi, pia nafasi zao zitakua zimejazwa na hao wa kutoka kenya na kuidhoofisha na kuitokomeza kabisa migomo ya wafanyabiashara siasa katika maeneo mbalimbali nchini..

una maoni au mtazamo gani katika hili?
 
f7fc10aca6bf0d445603f46c2b711295053bc474.jpeg.jpg
 
Wawekezaji wa Kenya wanaweza kwenda Zambia au Zimbabwe au SA lakini Siyo hiyo TZ iliyojaa Kodi zisizotabirika,isipokuwa na skilled labour force nk.Sahau Hilo Kwa investor anayejutambua eti atole Kenya Aje TZ.
watalii watakuja kama muungwana alivyo pray hapo juu kwenye sekta yake...

hata hivyo kuna wafanyibiashara wengi tu wa Kenya humu nchini,
wao hawaoni hayo unayoyasingizia?

labda kama ni WafanyabiasharaSiasa kama wanagoma :pulpTRAVOLTA:
 
Wakati hapa tu bongo wawekezaji wametishia kuondoka mpaka Waziri Januari Makamba kaitisha kikao na mabalozi. Hakuna mwekezaji wa kuja bongo.
kwahiyo na mabalozi,
ulikua mkutano wa kubakiza wawekezaji, sio kuvutia wawekezaji, kutangaza fursa na vivutio vya utalii vilivyopo 🐒
 
Kuna mbunge mmoja kenya lilikuwa lijeuri naona katoka nduki
Analikimbia bunge 😄
Kuna spika wa nchi fulani Ana kauli za shyt angekuwa kenya watu wangembaka

Ova.
 
Kuna mbunge mmoja kenya lilikuwa lijeuri naona katoka nduki
Analikimbia bunge 😄
Kuna spika wa nchi fulani Ana kauli za shyt angekuwa kenya watu wangembaka

Ova.
unamzungumia Didmas Wekesa Barassa, Mbunge wa kimilili constituency mwembamba halafu tall anaongea sanaaa hua anavaa kikofia flani hivi chekundu.....

hata hivyo,
unapenda fujo lakini hata jogging za chadema tu hujitokezi dah, jamaa muoga wewe sijawahi one 🐒
 
unamzungumia Didmas Wekesa Barassa, Mbunge wa kimilili constituency mwembamba halafu tall anaongea sanaaa hua anavaa kikofia flani hivi chekundu.....

hata hivyo,
unapenda fujo lakini hata jogging za chadema tu hujitokezi dah, jamaa muoga wewe sijawahi one 🐒
Mwenzako nishapigana vita vingi ohoo sina nidhamu ya uwoga
Nyie vijana ndy shuguli mnayo
Sahv kazi kwenu

Ova
 
Mwenzako nishapigana vita vingi ohoo sina nidhamu ya uwoga
Nyie vijana ndy shuguli mnayo
Sahv kazi kwenu

Ova
mara nyingi wenye mihemko ambao wamefikia ukomo wa fikra mbadala ndio hupigana 🐒
 
wanajipanga na kukusudia kuhamishia mitaji yao nchi jirani Africa Mashariki zenye amani ikiwa ni pamoja na Tanzania, kukwepa uharibifu wa uwekezaji woa huko kenya ambao baadhi yao kwa kiasi tayari wameathirika, kutokana na kukosekana usalama wa kutosha...

Je,
hii ni fursa muafaka ya kiuchumi na ya kipekee sana kwa Tanzania kutanua wigo na kuboresha mazingira yake ya kibiashara na uwekezaji kua bora na mazuri zaidi, ili wawekezaji na wafanya biashara hao wakija, wasiondoke na mitaji yao tena hali ya usalama itakaporejea huko walikotoka?

lakini pia hii ni fursa ya ajira kwa vijana Tanzania?
wafanyabiashara siasa waTanzania waliodai wanahamia Zambia kwa sababu zao binafsi, pia nafasi zao zitakua zimejazwa na hao wa kutoka kenya na kuidhoofisha na kuitokomeza kabisa migomo ya wafanyabiashara siasa katika maeneo mbalimbali nchini..

una maoni au mtazamo gani katika hili?
Wambieni kabisa huku kuna runguu la TRA unapigwa nalo na hutakiwi kulia maamaaa!
 
mara nyingi wenye mihemko ambao wamefikia ukomo wa fikra mbadala ndio hupigana 🐒
Kuna wakati inabidi mtandikane
Ili mkae sawa.....
Kama mtaamua kuishi kama maiti sawa uamuzi wetu
Kuna wakati haki haiombwi inadaiwa kwa nguvu

Ova
 
Back
Top Bottom