nikiwa shule ya msingi,
kwa hasira za kunichongea kwa mwalimu kwamba nimegoma kulima sehemu ya shamba la shule niliyopewa sawa na wanafunzi wengine, akati nililima,,
nikachapwa viboko...
sasa kwa hasira,
tena Mbele ya mwalimu nilimpiga ngumi moja ya maana na matata sana kiranja yule akaenda kuponea hospital ya wilaya baada ya wiki, sikuwahi kurudia kupigana mpaka wa leo π
nakwepa na kujizuia na mihemko kwa kila namna, nina wasiwasi na mkono wangu kutumika kwenye mapigano π