Wafanya mazoezi tumewakosea nini watanzania?

Wafanya mazoezi tumewakosea nini watanzania?

Aelknes

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
246
Reaction score
603
Yani kila siku mnatafuta mambo ya kutuchafua

Imekua ni jambo la kawaida sanaa kukuta tunasemwa vibaya
Tunaitwa
-Wezi
-Watembea na wake za watu
-Tunalelewa
-Mashoga
Unakuta ukionekana umejazia basi watu wanataka kukujaribu mpigane😤😤
Unapishana na mtu njiani anakuambia hiyo minyama tu hata kwenye sambusa ipo

Nani kawaambia sisi tunafanyaje mazoezi ili tupigane???
Mazoezi ni furaha,afya & upendo💪🏽💪🏽

Wengi hupendelea mazoezi ili watengeneze mwili uwe na
mwonekano mzuri
Wengine wameshazoea mazoez hawawez kuacha
sasa kosa hapo lipi??
Ushoga,wizi na vingine vyote ni tabia ya mtu mazoezi yanahusika vipi??
Wapo masheikh,mapadri,viongozi wa kisiasa,wasanii,walimu wenye tabia hzo
kwanini mnatuandama sana sisi?? wakati jamii hyo ndo wamejazana huko
Mngekua mnajua jinsi tunavyoumia msingekua mnatudharau hvyo

KIUKWELI INAUMA SANA UNAPOFANYA KITU UNACHOKIPENDA ALAFU UNAKUTA
WATU WANAKUONGELEA VIBAYA

Kilio cha samaki
 

Attachments

  • anthonyjoshua-20201109-0001.jpg
    anthonyjoshua-20201109-0001.jpg
    49.7 KB · Views: 3
Ni chuki tu ndugu hamna zaidi ya hapo .. narudia tena ni chuki na wivu na "sizitaki mbichi hizi "ndio zinazowasumbua watza wengi
 
😂😂😂😂

Vijana wana dharau sana
 
Ahsante kwa kutusemea mkuu
 
Wanaofanya mazoezi sana hasa gym wengi ni waoga wasiojiamini
 
Unaweza kuwa mmoja wapo wa wale watengeneza mwili wa kuvalia t-shirt, ukiwa mtu wa mazoezi ya kiukakamavu zaidi huwezi dharaurika. Nina zaidi ya miaka 10+ sijawahi kumbana na hii kadhia.
 
Unaweza kuwa mmoja wapo wa wale watengeneza mwili wa kuvalia t-shirt, ukiwa mtu wa mazoezi ya kiukakamavu zaidi huwezi dharaurika. Nina zaidi ya miaka 10+ sijawahi kumbana na hii kadhia.

Mkuu hata kama hujakutana nayo ila ndo tumeanza kusemwa
 
Back
Top Bottom