Wafanya Usafi Asubuhi; Barabara ya Kinondoni

Wafanya Usafi Asubuhi; Barabara ya Kinondoni

mchapafito

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2013
Posts
608
Reaction score
301
Wasalaam wana JF,

Kwanza niwasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Kazi iendelee!!!!), ndugu yenu nimekuwa nikipita kusoma comments kwa muda mrefu sasa, sijafungua uzi takribani miaka 8 sasa, lakini kama kichwa kinavyo jinasibu hapo juu imenibidi,

Hii barabara ya Kinondoni, ukiwa umetokea Morocco, ukishavuka mataa yanayoenda mwananyamala (karibu na babu Ally takeaway) hadi pale kwenye junction inayoenda Kinondoni makaburini, kuna akina mama/dada wanafanya usafi asubuhi

Concern yangu ni zile koni/VLC wanazoweka kama vizuizi barabarani kwa usalama wao, kwanza wanaviweka vibaya, pasi na utaratibu pia wanaweka maeneo hatarishi, just imagine mtu katoka kukimbia yellow light anakata kona tu anakutana na koni au dada wa usafi

Jamani, najua watu wa jiji mnapita humu, naomba muangalie hilo, atakuja tokea kichaa afanye mambo ya kutisha jamani, juzi hapo kuna kijana na Subaru Impreza almanusra amvunje miguu dada wa usafi pale kona ya Kinondoni Manyanya

Nawasilisha,

Wenu katika Ujenzi wa Taifa

Mchapafito
 
Wasalaam wana JF,

Kwanza niwasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Kazi iendelee!!!!), ndugu yenu nimekuwa nikipita kusoma comments kwa muda mrefu sasa, sijafungua uzi takribani miaka 8 sasa, lakini kama kichwa kinavyo jinasibu hapo juu imenibidi,

Hii barabara ya Kinondoni, ukiwa umetokea Morocco, ukishavuka mataa yanayoenda mwananyamala (karibu na babu Ally takeaway) hadi pale kwenye junction inayoenda Kinondoni makaburini, kuna akina mama/dada wanafanya usafi asubuhi

Concern yangu ni zile koni/VLC wanazoweka kama vizuizi barabarani kwa usalama wao, kwanza wanaviweka vibaya, pasi na utaratibu pia wanaweka maeneo hatarishi, just imagine mtu katoka kukimbia yellow light anakata kona tu anakutana na koni au dada wa usafi

Jamani, najua watu wa jiji mnapita humu, naomba muangalie hilo, atakuja tokea kichaa afanye mambo ya kutisha jamani, juzi hapo kuna kijana na Subaru Impreza almanusra amvunje miguu dada wa usafi pale kona ya Kinondoni Manyanya

Nawasilisha,

Wenu katika Ujenzi wa Taifa

Mchapafito

IMG_3897.jpg
 
Wasalaam wana JF,

Kwanza niwasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Kazi iendelee!!!!), ndugu yenu nimekuwa nikipita kusoma comments kwa muda mrefu sasa, sijafungua uzi takribani miaka 8 sasa, lakini kama kichwa kinavyo jinasibu hapo juu imenibidi,

Hii barabara ya Kinondoni, ukiwa umetokea Morocco, ukishavuka mataa yanayoenda mwananyamala (karibu na babu Ally takeaway) hadi pale kwenye junction inayoenda Kinondoni makaburini, kuna akina mama/dada wanafanya usafi asubuhi

Concern yangu ni zile koni/VLC wanazoweka kama vizuizi barabarani kwa usalama wao, kwanza wanaviweka vibaya, pasi na utaratibu pia wanaweka maeneo hatarishi, just imagine mtu katoka kukimbia yellow light anakata kona tu anakutana na koni au dada wa usafi

Jamani, najua watu wa jiji mnapita humu, naomba muangalie hilo, atakuja tokea kichaa afanye mambo ya kutisha jamani, juzi hapo kuna kijana na Subaru Impreza almanusra amvunje miguu dada wa usafi pale kona ya Kinondoni Manyanya

Nawasilisha,

Wenu katika Ujenzi wa Taifa

Mchapafito
Uzi mzuri sana huu lakini nashangaa watu hawajauwekea maanani.

Ngoja nijaribu kuufufua huenda watu wakauona, wakasoma na kuufanyia kazi ushauri wako.
 
Back
Top Bottom