Wafanya usafi maofisini kimbilio la madomo zege

Wafanya usafi maofisini kimbilio la madomo zege

king kong
Tatizo hamtaki kuliweka kwenye mitaala, sasa ngoja tufanye tunavyojua sisi.
 
Last edited by a moderator:
Tamalisa
Hizo mambo hazina cha usomi dada angu, bosi wa IMF yule mfaransa alitaka kula tena kwa kulazimisha mhudumu wa hoteli, Zuma yeye alikula mwathilika tena peku
 
Last edited by a moderator:
Inabidi waajiri waongeze mishahara angalau wafanyakazi wachukue mademu viwango.
Maana sipati picha demu kapigwa na jua kalowa jasho unamvamia tu tena fastafasta bila kujiswafi.
Ndiyo maana fangasi haziwaishii, mnatusumbua hospitalini.
 
Mkuu umeuwa aisee wale si mara nyingi wako inferior lazima akubaliane na jamaa fasta tena jamaa anampiga saund kwamba yeye ni bosi mdogo
 
Mwaka 2013 shirika la kazi dunia (ILO) lilitoa ripoti ya utendaji kazi na tija. Katika ripoti hiyo utendaji kazi wa Mkenya ni 1:5 kwa mtanzania, mzimbabwe ni 1:7, na mtu wa EU ni 1:12. Tafsiri yake Mkenya 1 aweza kuwa na tija Sawa na watanzania 5. Kwa stori ya hii walau ile ripoti ya ILO nimeanza kuelewa.
 
Na wafanyakazi wa kiume...ni nomaaaa
 

Attachments

  • 1424364561136.jpg
    1424364561136.jpg
    8.5 KB · Views: 1,284
wacheni watu wafilimbane ili tuendelee kupata pesa za misaada pale TACAIDS.
 
IFM hamna kondomu chooni hacheni maneno ya kuambiwa mi nimesoma pale
 
yaani hapa ofisini kwetu ndio wanaliwa kwa zamu leo huyu kesho huyu watu wanajiuguza tu tena wengine kwa buku 2 tu
 
Kumbe tunaofanya kazi NGO za ukimwi hatuwezi kuacha maana watu bado wana mpango wa kuongeza maambukizi kirahisi rahisi tu
 
Inabidi waajiri waongeze mishahara angalau wafanyakazi wachukue mademu viwango.
Maana sipati picha demu kapigwa na jua kalowa jasho unamvamia tu tena fastafasta bila kujiswafi.
Ndiyo maana fangasi haziwaishii, mnatusumbua hospitalini.

asante dokta
 
duuuh Maboso hiyo avatar yako ni noma...
 
Last edited by a moderator:
cha msingi ni papuchi. haijalishi umeipataje. kila mtu anajua anachokifanya
 
Mtoa Mada umezungumzia wafanya usafi ofisini tu.
Bado sehemu zingine kama:-
Wahudumu wa Migahawa na bars.
Wafanyakazi wa supermarkets na mini supermarkets.
Wafanya scrub mule tunamokata nywele.
Wachuaji miili katika ofisi zao.
Wagudumu wa hotels, lodge na guest houses.
Mama ntilie.
Wachuuzi wa bidhaa ndogondogo mitaani.
wana Kwaya.
Waimba kaswida.
Na wengine niliosahau.
Hao hujaona eee!!
 
Back
Top Bottom