Wafanyabiashara 650 waomba kufunga biashara TRA

Huyo anachapaje kazi analalamikiwa na wafanyabiashara yeye ka leader anatakiwa kuwa problem solver, ka anachapa kazi kwanini watu wengi wafunge biashara?
Sio anakomoa,
Kwa taarifa yako kule Moshi hadi wafanyakazi wa TRA hawapumziki,Hizo ndizo faida za kuwa na watu wachapa kazi na wanaomjua Mungu.

Kule Maofisa wanapiga kazi kwel kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gabriel alisema TRA kuanzia leo itafanya uhakiki maduka na biashara zote zilizoombewa kufungwa, na kwamba kama mfanyabiashara atabainika kuomba kufunga biashara yake huku akiendelea na biashara, mamlaka hiyo itawaburuza mahakamani na kuwatoza faini.
MAONI YANGU. HUU SIO WAKATI WA T.R.A KUWASHIKIA CHINI WANANCHI. BADALA YAKE WAKAE CHINI NA WAFANYA BIASHARA HAO AU HATA WOTE KUPITIA WAWAKILISHI THEN WAKUBALIANE JINSI WATAKAVYOWAFANYIA WEPESI, HIYO ITASAIDIA WATU KUENDELEA NA BIASHARA HUKU MAPATO YAKIWA YANAPATIKANA JAPO KIDOGO KIDOGO KATIKA WAKATI HUU WA JANGA LA KORONA. KULIKO KUTUMIA RUNGU NZITO ITAKAYOPELEKEA WATU KUJIFICHA NYUMBANI NA KUFUNGA BIASHARA KWA 100% KWANI IKITOKEA HIVYO MKOA NA TAIFA KWA UJUMLA LITAPOTEZA FEDHA NYINGI BILA SABABU ZA MSINGI.
OVER
 
MODS Rekebisha kichwa isomeke "Wafanyabiashara 650 Mkoa wa Kilimanjaro...."
 
Kuna weekends 4 kila mwezi x3 sawa na siku 12.
Note; wastani 30 kwa siku
"Alisema TRA kila siku kuanzia mwezi Januari mwaka huu imekuwa ikipokea wastani wa barua za maombi zaidi ya 30 kila siku kutoka kwa wafanyabiashara wakiomba kusimamisha biashara zao"

Januar, feb na march = siku 90
90×30= 2,700 ya maombi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi haka kamji kalivyo kadogo ni biashara gani sasa itabaki[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Tujiandae kisaikolojia anguko la kiuchumi linalokuja miezi 6 mbele tutatafutana.
 
Huyu Meneja wa TRA Moshi analaumiwa sana na Wafabyabiashara wengi. Amechangia watu kufilisika hasa wa maduka yaliyopo karibu kabisa na stendi ya mabasi makubwa na ile ya hais za KCMC.

Pia ana vitisho na fine mbaya za kulipisha watu kodi kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote TRA wanalenga kukusanya zaidi, so wanavyosema wamekusanya 85% ya malengo yao despite ya izo biashara zilizofungwa ni mafanikio makubwa
Despite biashara zilizofungwa... ni mafaniko makubwa.

Akili za kimaskini hizi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…