Hatulipi lakini tusioneshane dharau basi pesa ni yangu mali ni zako wewe unauza unahitaji pesa na mimi nanunua nahitaji mali sasa kwanini tuleteane dharau. Na kama una hio mentality jitahidi kuacha hizo ni akili za kimaskini sana.Kwani hiyo good customer care mnayoitaka mnailipia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wafanya biashara wa Arusha some percent kauli nzuri kwa mteja hawana… tena wale wa sokoni akuone unachagua chagua sana, au ubonyezee parachichi [emoji23][emoji23]
Anakushushua bila aibu
Na ni vitu vidogo ndo vinakwamisha biashara nyingi. We kama una biashara Heshimu kila mtu ongea vizuri haikugharimu hata mia yakoUkita huduma au kauli nzuri kwa wahudumu wa sehemu za biashara Bongo utakwama. (nikiri hata mimi nakwazika sana na huwa siendi sehemu zanye huduma mbovu). Ajabu ni kuwa watanzania wenyewe walishazoea na kukubali kunyanyaswa.
Huko kuna dogo mmoja alienda shule pale Tandahimba Asee tukaona kuliko kubebana na mizigo ni bora tukanunulie vitu hukohuko Asee walivyojua sisi ni wakuja MBN tulikomaNini Arusha, Nenda Kusini Mtwara na Lindi ni shida, hawamjali mteja na hawamwogopi hata kdg, mshkaji wangu mmoja alikwenda Lindi mjini akafikia maeneo ya karibu na stendi, akahitaji kunyoa akaenda jirani kuna bonge ya salon, milango iko wazi, muziki mkubwa na hakuna mtu, akaingia akakaa weee hakuna mtu akaenda jirani kuuliza wakamwambia yupo around angojee kdg, akaamua kutoka mitaa kama miwili akakuta watu wanacheza pool table, akawasalimia akauliza kama kuna salon jirani, wakamjibu huko ulikotoka kuna salon, akasema ni kweli ila kinyozi hayupo, wakamwambia kinyozi si ndio huyu tunacheza naye pool table!! Alichoka jamaa akaondoka zake, ndio wabongo walivyo.
Vipi kuhusu wateja wenye dharau? Hilo unaliongeleaje?Hatulipi lakini tusioneshane dharau basi pesa ni yangu mali ni zako wewe unauza unahitaji pesa na mimi nanunua nahitaji mali sasa kwanini tuleteane dharau. Na kama una hio mentality jitahidi kuacha hizo ni akili za kimaskini sana.
🤣🤣huu ndo uzuri wa Jf mtoto wala mkubwa hatujuani. hlf ukute kumbe ni kitoto kimoja kula kulala hakijui hata mkate unauzwaje, zaidi ya kuchezea simu ya mzazi wake tuKwani hiyo good customer care mnayoitaka mnailipia?
Customers are always right! Jishushe uwezavyo umchomoe hela, huo udhaifu usikutisheVipi kuhusu wateja wenye dharau? Hilo unaliongeleaje?
Still unatakiwa kua mpole Ni heri ukanyamaza,ukampatia huduma anayotaka basi..Vipi kuhusu wateja wenye dharau? Hilo unaliongeleaje?
Hahaha,ujue sio wewe tu unaeuza au unaetoa huduma iyo pekee wapo wngine,why mteja aache duka lile aje kwako, good customer care ndo kila kitu kwnye biashara...Ni free service unatoa kwa mteja but Ina impact kubwa kwny businessKwani hiyo good customer care mnayoitaka mnailipia?
Maana yangu Kama hawailipii Sasa si wahame hapo wakaipate Tena bure tu.Hahaha,ujue sio wewe tu unaeuza au unaetoa huduma iyo pekee wapo wngine,why mteja aache duka lile aje kwako, good customer care ndo kila kitu kwnye biashara...Ni free service unatoa kwa mteja but Ina impact kubwa kwny business
Pesa uitafute kwa shida na kuitumia ni kwa shida pia.Leo katika harakati zangu nimeingia kwenye moneyshop moja ndogo tu Arusha shida yangu ilikuwa ni kufanya miamala kadhaa, nimeingia nikakuta jamaa anapanga vitu nimefika pale hakuna cha karibu wala nini , ananiangalia AF kakunja sura nikauliza huduma ninayotaka hakujibu nikaona kaingia ndani basi nikamsubiri atoke , ametoka anauliza wewe una shida gani unanisimamia nje hapa, sikutaka kuongea zaidi nikaondoka.
Nimeenda kwingine nakuta jamaa anachati na simu tu namuuliza huduma ananiuliza ebu sema shida yako chap . Hapo pia nikaona hizi dharau nikaamua kwenda benki tu . Benki wamenuhudumia vizuri sana.
Wafanyabishara mtambue tu kitu kimoja kauli kwa wateja ni muhimu sana katika kumtunza mteja na kumfanya arudi siku nyingine hii itakusaidia sana hata kupandisha mauzo , kwa hao walionihudumia vibaya leo sidhani kama nitakuja kukanyaga tena kwenye biashara zao . Na msijidanganye kubwa mna wateja wengi tambueni kuna mtu ana ushawishi mkubwa anaweza akapeleka kundi kubwa la wateja au kuhamisha kundi kubwa la wateja kutoka kwako.
Na kingine pia ni kwamba hasira za nyumbani au mahali pengine usiziweke kwenye biashara yako , wateja wako ndio wanaokufanya wewe ukae pale wao wakuletee hela na Wewe uwape huduma nzuri utakuwa mwendawazimu kama utamnunia mtu anayekuletea pesa.
Jifunzeni kumsikiliza kila mtu na kutambua anataka nini msidharau wateja hata akiwa namna gani msikilize muhudumie kwa heshima akiridhika kesho atakuletea wengine au atakuwa mteja wa kudumu.
Nawasilisha
Mimi wakati nasimamia kibanda cha kuingiza miziki na muvi nilikua najitahidi kua rafiki kwa mteja matokeo yake stori zikasambaa kwamba natongoza wateja.
Bro akanitimua akamuweka best yake. Ofisi ikachechemea kwakua muvi na miziki ni huduma ipo kila mahali so ukimjeuria mtu kukutema siyo tatizo.
Bro akaniplease nirudi by the time narudi nikakuta kafunga ofisi imekufa. Kuna frame ipo maeneo ya Kopa kwa anayetaka