Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Wasitutishe, wasitubabaishe. Lazima kuwe na tozo na kodi mbalimbali. Haya ma vieti mnadhani ni mengi hivi sababu wajapan wanatupa bure?
Mnadhani yanatumia maji? Au yanatumia upepo? Burundi nadhani maisha ya kule ni rahisi zaidi kwa mujibu wa Mwigulu Nchemba.
Wanasiasa walio empty kichwani wakishiba wakavimbiwa. Huwa wanatoa gesi tu... Mungu awape nini? Gunia la Chawa?
Mnadhani yanatumia maji? Au yanatumia upepo? Burundi nadhani maisha ya kule ni rahisi zaidi kwa mujibu wa Mwigulu Nchemba.
Wanasiasa walio empty kichwani wakishiba wakavimbiwa. Huwa wanatoa gesi tu... Mungu awape nini? Gunia la Chawa?