Lazima uambiwe ukweli wewe ni kichwa maji!Matusi ni silaha ya wajinga, jitahidi uelimike uweze kupingana kwa hoja bila kutukana.
🚮🚮🚮Lazima uambiwe ukweli wewe ni kichwa maji!
Concrete za gorofa hiyo unaona kabisa zilikuwa na uwezo wa kubeba tani 850?
Au na wewe ni chawa kila kinachofanyika kwa vile kimefanyika na kukubalika na Rais basi kiko sawa!
Usiwe msomi elimika na acha ujinga!
Kweli mpaka tani 850 za marobota ya pamba zienee kwenye kajumba hako sio mchezo.Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo wamehoji juu ya usahihi wa takwimu alizopewa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan @samia_suluhu_hassan kuwa jengo la ghorofa lililoanguka Kariakoo Novemba 16, 2024 lilikuwa limebeba mizigo ya tani 850.
Akizungumza leo Februari 04, 2025 katika uzinduzi wa Balozi Jengo, Fredrick Lutindi ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kariakoo amesema “wakati Mheshimwa Rais anaongea kuna takwimu alizitaja mimi na wafanyabiashara wengi tulishtuka kidogo kwamba jengo lile lililodondoka lilikuwa limebeba tani 850 sasa tani mia nane kwa kawaida Kariakoo hatuna jengo lenye uwezo wa kubeba tani hizo”
Wafanyabiashara hao wamemuomba Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda kusaidia kufuatilia ili Rais apewe taarifa zilizo sahihi hasa hizo za kiwango cha mizigo kilichobebwa kwenye jengo lililoanguka.
View attachment 3225041
We unapigia hesabu korosho!?..sisi wafanyakazi wa mchina hufuata mzigo wa tshet na sendo bandarini na kenta haitoshi kubeba,na hapo tumepanga flow moja, tshet 200 ni zaidi ya kilo 50Kariakoo nina uzoefu napo sana tuu,tani 850 maana yake uwe na gunia 8500 za korosho!!!
Maana yake ghorofa moja inakuwa na mzigo wa kutosha gari 30 zinazobeba tani 30 kila moja!!!
Hahaaa.....Wadanganyeji Wadanganyika ambao hata wao sasa wamechoka kudanganywa na CCM.
Sio kweli wewe.Hivi unajua mizigo inayowekwa huko!?..store moja tu kwenye ghorofa kumi mchina ana mzigo wa tani 10,tshet,sendo sijui vitu gani
Unanibishia mfanyakazi wa mchinaSio kweli wewe.
Mi kwa taarifa yako cjawah kuajiriwa. Ila nakusaidia. Gorofa moja la floor 8 lote linaweza kubeba Tani kumi. Hakuna nyumba hata moja mchina ana floor zaid ya 3. Wanachofanya wana magodown nje ya mji na store floor moja.Unanibishia mfanyakazi wa mchina
Unabisha nini wewe!?..mi natafuta ugali kwa mchina kila siku hapo msimbaziMi kwa taarifa yako cjawah kuajiriwa. Ila nakusaidia. Gorofa moja la floor 8 lote linaweza kubeba Tani kumi. Hakuna nyumba hata moja mchina ana floor zaid ya 3. Wanachofanya wana magodown nje ya mji na store floor moja.
Labda bidhaa inaitwa DHAHABU.Wewe kaa kimya nyie ndo vichwa maji mnapokea kila ujinga unaotolewa!
Jengo lina floor tatu libebe tani 850 hivi uko na akili kweli au umejaza usaha kichwani huko!
Niambie jengo gani lina tan 10 ya mzigo wa mchina maana mi nawajua wachina wote wenye mastoo za mizigo kkoo mi pia nafanyabiashara kkoo. Sema ni yupi mwenye rani kumi kama hatujakukamata kwa uongo hapa.Unabisha nini wewe!?..mi natafuta ugali kwa mchina kila siku hapo msimbazi
Ili nikupe machimbo siyo!?Niambie jengo gani lina tan 10 ya mzigo wa mchina maana mi nawajua wachina wote wenye mastoo za mizigo kkoo mi pia nafanyabiashara kkoo. Sema ni yupi mwenye rani kumi kama hatujakukamata kwa uongo hapa.
🚮 Nilijua utamweleza mwenzio kwa factIli nikupe machimbo siyo!?
Tani moja =kilo 1000. Sasa inawezekana kabisa zilikuwepo zaidi ya hata kilo 850 mana jengo lilikuwa limejaa mizigoKuna investigation zengine hatuwezi sema tupo ofisini.Mfano kama ajali za ndege,magorofa,majanga ya dunia na teknolojia.
Yani dokta silahaa kaongea tu lakini alivyo fatwa utazani jambazi.
Acha hiyo juzi TRA kariakoo jengo linaungua kuna watu sijui akili zikoje gari wanavunja kioo cha mbele kisa funguo.
Yani hata mwizi wa vipuri kawazidi akili.
uongo mtakatifu, ghorofa 8 tani 10? acheni utani, nyumba tu za kupanga zinazidi hio tani 10 furniture za watu sembuse stoo za bidhaa.Mi kwa taarifa yako cjawah kuajiriwa. Ila nakusaidia. Gorofa moja la floor 8 lote linaweza kubeba Tani kumi. Hakuna nyumba hata moja mchina ana floor zaid ya 3. Wanachofanya wana magodown nje ya mji na store floor moja.
boss kontena moja ni zaidi ya tani 20, njoo kkoo usiku uone watu wanavyoshusha kontena, kuclaim hakuna mchina mwenye tani 10 ni kusema kkoo hakuna mchina anayeleta kontena ambayo ni hoja ya kipuuzi sana.Niambie jengo gani lina tan 10 ya mzigo wa mchina maana mi nawajua wachina wote wenye mastoo za mizigo kkoo mi pia nafanyabiashara kkoo. Sema ni yupi mwenye rani kumi kama hatujakukamata kwa uongo hapa.
Kimsingi na kiuhalisia, Jengo lile halikuwa na uwezo wa kubeba mizigo mkubwa wenye uzito huo wa tani 850, completely impossible.Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo wamehoji juu ya usahihi wa takwimu alizopewa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan @samia_suluhu_hassan kuwa jengo la ghorofa lililoanguka Kariakoo Novemba 16, 2024 lilikuwa limebeba mizigo ya tani 850.
Akizungumza leo Februari 04, 2025 katika uzinduzi wa Balozi Jengo, Fredrick Lutindi ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kariakoo amesema “wakati Mheshimwa Rais anaongea kuna takwimu alizitaja mimi na wafanyabiashara wengi tulishtuka kidogo kwamba jengo lile lililodondoka lilikuwa limebeba tani 850 sasa tani mia nane kwa kawaida Kariakoo hatuna jengo lenye uwezo wa kubeba tani hizo”
Wafanyabiashara hao wamemuomba Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda kusaidia kufuatilia ili Rais apewe taarifa zilizo sahihi hasa hizo za kiwango cha mizigo kilichobebwa kwenye jengo lililoanguka.
View attachment 3225041