Wafanyabiashara Karume wameunguliwa soko, ila Waziri wa Biashara hajaonekana mpaka sasa

Wafanyabiashara Karume wameunguliwa soko, ila Waziri wa Biashara hajaonekana mpaka sasa

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Ukisikie serikali imelala ndo hivi sasa.

Waziri wa biashara haonekani wakati wafanya biashara wameunguliwa soko lao badara yake anaenda TAMISEMI.

Hivi TAMISEMI wao kila sehemu wapo?. Si watakuwa wanaishia kutoa matamko tu kazi hazifanyiki?
 
I think Waziri wa biashara ajiuzulu ni kweli kabisa hii ishu ni ya kwake moja kwa moja pamoja ya kwamba TAMISEMI ndio wahusika wa masoko kwa kuwa inagusa biashara moja kwa moja.

Waziri wa Biashara please jiondoe maana hatujasoma juhudi zako kwenye janga hili kwa maana ya kuwanasua hawa wafanyabiashara wa ndani especially hawa wenye mitaji midogo

It seems like Wizara ya biashara inadeal na wawekezaji tu jambo ambalo halimhusu
 
I think Waziri wa biashara ajiuzulu ni kweli kabisa hii ishu ni ya kwake moja kwa moja pamoja ya kwamba TAMISEMI ndio wahusika wa masoko kwa kuwa inagusa biashara moja kwa moj....
Kuna Aina mbili za lesini za biashara ambazo ni class A na class B. Class A zinatolewa na Wzara ya Viwanda na biashara wakat class B zinatolewa na halmashauri/manispaa ambazo zipo chini ya Tamisemi

Hivyo basi kwenye Sakata la moto hapo karume waziri wa viwanda na biashara halinuhusu kabisa, Muhusika ni waziri wa Tamisemi
 
Kuna Aina mbili za lesini za biashara ambazo ni class A na class B. Class A zinatolewa na Wzara ya Viwanda na biashara wakat class B zinatolewa na halmashauri/manispaa ambazo zipo chini ya Tamisemi...
Nimekuelewa sana naamini wengi wapitie hapa kwako Kuna elimu nzuri. Nilipitiwa kwenye hili , thanks gentleman.
 
Naombeni mniletee hasara yote iliyotokea kwenye huo moto najitolea kimoyo safi kuwalipa wote waliounguliwa na kuwapa mtaji kwa hela zangu mwenyewe ila isivuke dola za kimarekani milion 50.
 
Saivi masikini wanyanyasike muda Wao wa kutesa umeisha.alisikika fisadi mmoja aliyegoma kukiri kuwa zile hela yeye Hana kosa alipewa tu basi waliompa wawajibishwe.

Aka hela za ugoro
 
Waziri wa biashara afate Nini kwny moto,kwani yeye amekua mfanyakazi wa fire/zimamoto?
Kwa hiyo ulitaka aende waziri wa ulinzi sasa ama?

Wafanyabiashara wote wako chini ya waziri wa afya.
 
I think Waziri wa biashara ajiuzulu ni kweli kabisa hii ishu ni ya kwake moja kwa moja pamoja ya kwamba TAMISEMI ndio wahusika wa masoko kwa kuwa inagusa biashara moja kwa moja.

Waziri wa Biashara please jiondoe maana hatujasoma juhudi zako kwenye janga hili kwa maana ya kuwanasua hawa wafanyabiashara wa ndani especially hawa wenye mitaji midogo

It seems like Wizara ya biashara inadeal na wawekezaji tu jambo ambalo halimhusu
Hilo soko lipo registered wizarani au linaingiza kodi TRA au ? Huwezi toa lawama kwa issue ambazo hazipo kwenye record za walipa kodi zihesabiwe ati ni Biashara zenye mchango wizarani... machinga kwa mujibu wa sheria za nchi ni kosa la jinai.. lipeni kodi wapumbavu
 
Hilo soko lipo registered wizarani au linaingiza kodi TRA au ? Huwezi toa lawama kwa issue ambazo hazipo kwenye record za walipa kodi zihesabiwe ati ni Biashara zenye mchango wizarani... machinga kwa mujibu wa sheria za nchi ni kosa la jinai.. lipeni kodi wapumbavu
Halmashauri ndio wakuwajibika,soko lenyewe gofu,chafu,hakuna matengenezo au ukarabati wa majengo LAKINI Halmashauri inakusanya kodi.
Kwani biashara ya mitumba na nyanya huwa vipo chini ya wizara ya viwanda na biashara?
Naombeni mniletee hasara yote iliyotokea kwenye huo moto najitolea kimoyo safi kuwalipa wote waliounguliwa na kuwapa mtaji kwa hela zangu mwenyewe ila isivuke dola za kimarekani milion 50.

Daah... Kuweni na utu... Kuna wenzetu wamefilisika
 
Machinga wa Karume wakiendeleza hizi vurugu zao kwa wiki au zaidi ni wazi wataitwa mezani!
 
Back
Top Bottom