Wafanyabiashara Makanjanja wamewagharimu sana Wafanyabishara waaminifu, hivi sasa wanatumia nguvu nyingi kumshawishi mteja

Ukitaka mfuko mmoja au 10 uwahi ukajenge unapewa hakuna kupima utaambiwa unabishana na maandishi ya mzalishaji?
Hakuna anayepima mkuu.
Hili la kupigwa uku mitaani ama nje ya mji tushapigwa sana kwenye siment...................I
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…