Business rent sharing idea..
Natafuta mtu anaefanya biashara yeyote isiyo na usumbufu wa harufu au kelele… wa kushare nae kodi ya space tutakapofanyia biashara na kufanya separations … ( this will be a cost savings maana commercial buildings nyingi wanachaj bei kubwa ukipanga space ndogo na bei ndogo ukipanga space kubwa)
My business ni modern photostudio, small music studio na tshirts designing and printings,, na sehem nazofikiria ku rent a space ni yenye security kubwa na bigger population eg. Near vyuoni, inside hostels like mabibo , secured commercial place in sinza, mwenge , etc..
Kwa anaefanya biashara yeyote na anataka sehemu ya kufanyia biashara anakaribishwa…
We can rent even a full secured house in prime areas na kuitumia as a business house kama wcb office… tukagawana rooms na kila mtu akafanyia biashara yake.
Maoni na mawazo yanakaribishwa…
Natafuta mtu anaefanya biashara yeyote isiyo na usumbufu wa harufu au kelele… wa kushare nae kodi ya space tutakapofanyia biashara na kufanya separations … ( this will be a cost savings maana commercial buildings nyingi wanachaj bei kubwa ukipanga space ndogo na bei ndogo ukipanga space kubwa)
My business ni modern photostudio, small music studio na tshirts designing and printings,, na sehem nazofikiria ku rent a space ni yenye security kubwa na bigger population eg. Near vyuoni, inside hostels like mabibo , secured commercial place in sinza, mwenge , etc..
Kwa anaefanya biashara yeyote na anataka sehemu ya kufanyia biashara anakaribishwa…
We can rent even a full secured house in prime areas na kuitumia as a business house kama wcb office… tukagawana rooms na kila mtu akafanyia biashara yake.
Maoni na mawazo yanakaribishwa…