Wafanyabiashara na Kodi

Wafanyabiashara na Kodi

Eliuko

New Member
Joined
Dec 18, 2013
Posts
3
Reaction score
0
Je nikwanini wafanya biashara hawapendi kulipa kodi kwa shuruti?...Kama kwenye harusi au harammbee?

1-Ni kwasababu hajui inatumikaje, au haoni faida yake ya Moja kwa Moja, au ufisadi unaosikika na si katika hiyo kodi anyolipa? Au elimu haijawekezwa kwa nguvu Kama kwenye HIV?
 
Back
Top Bottom