Wafanyabiashara na wajasiriamali mliopo chuoni tukutane hapa

Hizo biashara uchelewi kuangushiwa jumba bovu, labda uwe na urafiki na mkuu wa kituo Cha polisi karibu na unapofanyia mishe zako.
Woga tu mim mdogo angu hadi Leo ana duka la simu mawasiliano na alianzia Huko Huko ndio maana nimemwambia awe na jicho unazan Ata ukiuza nguo kama hujui kulenga utauza Kila biashara inaitaji umakini na hasara kwenye biashara zipo ila lazima ujue kunusa hasara inatokea wap
 
choma mahind, utafanikiwa... kila muhind unauzwa 250, we ukichoma utauza mia tano, s6 faida ni 250, ukiuza mahind 100 kwa siku, utapata 25000, toa mkaa ukosi 20000. jiite mr mahind, tafuta dogo ukienda kupiga pind unamuacha ukimaliz unarud kijiwen. huduma y derivering inakuwepo
 
Aisee! Hii iko poa sana! Na vipi kuhusu goli la kupigia hiyo mishe au sehemu ya kupigia mishe,
 
Sidhani Kama humu JF Kuna wanachuo maana Uzi Ni mzuri Ila mwitikio ndo mchache
 
Samahanini nipo mbeya, mzumbe nataka nifanye biashara pia.
Nilipotarget ni ,,,,,nguo,viatu, chupi za kike na sidilia. Vipi wale wanaoagiiza vitu vya biashara napataje hivyo vitu.


Nakukaribisha kwa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…