Wafanyabiashara na wajasiriamali mliopo chuoni tukutane hapa

Wafanyabiashara na wajasiriamali mliopo chuoni tukutane hapa

martial jb

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
863
Reaction score
1,462
Habari wakuu,

Naomba kukutana kwa wadau wote wajasiriamali na wafanyabiashara wa vyuoni ili kujadiliana masuala mbalimbali kuhusiana na michongo ya pesa na fursa kibao za kibiashara.

As well as namna ya kuendesha biashara ukiwa chuoni bila interruption za masomo na management nzuri ya muda na kitabu.

Pia biashara gani rahisi na nzuri ukiwa chuoni, na kujulishana fursa za kibiashara kwa vyuo mbalimbali.

Karibuni sana.
 
Habari wakuu,

Naomba kukutana kwa wadau wote wajasiriamali na wafanyabiashara wa vyuoni ili kujadiliana masuala mbalimbali kuhusiana na michongo ya pesa na fursa kibao za kibiashara.

As well as namna ya kuendesha biashara ukiwa chuoni bila interruption za masomo na management nzuri ya muda na kitabu.

Pia biashara gani rahisi na nzuri ukiwa chuoni, na kujulishana fursa za kibiashara kwa vyuo mbalimbali.

Karibuni sana.
Think big Je unayo fursa ya kipato itakayo kuwezesha kuyabadilisha maisha yako katika kipato chako? kama jibu ni hapana ,karibu nikupe fursa ambayo itayabadilisha maisha yako na kuongeza kipato chako ,karibu ulimwengu wa mamillioner,, [emoji4][emoji1666] ``
call /tuma ujumbe wenye neno ,,fursa kwenda[emoji338]255-719196408 .pia kwa huduma ya kiafya karibu upate tiba. View attachment 2402047View attachment 2402051View attachment 2402048View attachment 2402049View attachment 2402050View attachment 2402053View attachment 2402054
IMG_20221030_115129_823.jpg
View attachment 2402055
 
Think big Je unayo fursa ya kipato itakayo kuwezesha kuyabadilisha maisha yako katika kipato chako? kama jibu ni hapana ,karibu nikupe fursa ambayo itayabadilisha maisha yako na kuongeza kipato chako ,karibu ulimwengu wa mamillioner,, [emoji4][emoji1666] ``
call /tuma ujumbe wenye neno ,,fursa kwenda[emoji338]255-719196408 .pia kwa huduma ya kiafya karibu upate tiba. View attachment 2402047View attachment 2402051View attachment 2402048View attachment 2402049View attachment 2402050View attachment 2402053View attachment 2402054View attachment 2402056View attachment 2402055
Asante mkuu ila ni vizuri hizo fursa tukashare kwa pamoja kwani JF ni jukwaa la uwazi.
Pia kwa kuepuka wakina Kalynda ni heri tumalizane hapa hapa
 
Think big Je unayo fursa ya kipato itakayo kuwezesha kuyabadilisha maisha yako katika kipato chako? kama jibu ni hapana ,karibu nikupe fursa ambayo itayabadilisha maisha yako na kuongeza kipato chako ,karibu ulimwengu wa mamillioner,, [emoji4][emoji1666] ``
call /tuma ujumbe wenye neno ,,fursa kwenda[emoji338]255-719196408 .pia kwa huduma ya kiafya karibu upate tiba. View attachment 2402047View attachment 2402051View attachment 2402048View attachment 2402049View attachment 2402050View attachment 2402053View attachment 2402054View attachment 2402056View attachment 2402055
UZI UMEVAMIWA MA MATAPELI WA BF SUMA
 
Asante mkuu ila ni vizuri hizo fursa tukashare kwa pamoja kwani JF ni jukwaa la uwazi.
Pia kwa kuepuka wakina Kalynda ni heri tumalizane hapa hapa
MATAPELI HAYO, YATAKUONYESHA MAGARI NA TIKETI ZA NDEGE HUKU YAMEVAA SUTI UKIJICHANGANYA UMEKWISHA.

NAYAJUA VIZURI.
 
MATAPELI HAYO, YATAKUONYESHA MAGARI NA TIKETI ZA NDEGE HUKU YAMEVAA SUTI UKIJICHANGANYA UMEKWISHA.

NAYAJUA VIZURI.
Aisee! Basi jamaa ni wahuni kweli kweli, ila kwangu wangesubiri maana me mwenyewe ni jasusi mbobezi kwenye kuwashtukia
 
Aisee! Basi jamaa ni wahuni kweli kweli, ila kwangu wangesubiri maana me mwenyewe ni jasusi mbobezi kwenye kuwashtukia
Unawapa hela kibao kisha wao wanakupa madawa na dawa za meno ukauze/ukapambane nazo mtaani kama chinga tena wanakuuzia bei juu ukafie mbele
 
Dogo kama upo chuo tafta mtaji uwe unanunua vitu vya thamani Kwa wanao hitimu mfano Tv,majiko ya Gas mara nyingi wanao hitimu wanauza uza sana vitu Gas, madishi ya Azam,visabufa, tena nunua bei ya chini kabisa mfano mtu ana dish ya Azam nunua hata Kwa 60000 weka kauze Ata 90000 au 100,000 Tv nch 32 nunua Ata Kwa 140000 wew kauze 180000 au 200000 sehem za kuuzia tafuta wale wauzaji wa vitu vya mtumba ukiwa dar itakufaa zaidi au kama una jicho la kulenga simu pia fanya ila kama unaona ngumu pia sio lazima
 
Dogo kama upo chuo tafta mtaji uwe unanunua vitu vya thamani Kwa wanao hitimu mfano Tv,majiko ya Gas mara nyingi wanao hitimu wanauza uza sana vitu Gas, madishi ya Azam,visabufa, tena nunua bei ya chini kabisa mfano mtu ana dish ya Azam nunua hata Kwa 60000 weka kauze Ata 90000 au 100,000 Tv nch 32 nunua Ata Kwa 140000 wew kauze 180000 au 200000 sehem za kuuzia tafuta wale wauzaji wa vitu vya mtumba ukiwa dar itakufaa zaidi au kama una jicho la kulenga simu pia fanya ila kama unaona ngumu pia sio lazima
Bless up mkuu, hii mishe ya vitu used nimekupata but hii mishe ya simu inaendaje mkuu
 
Dogo kama upo chuo tafta mtaji uwe unanunua vitu vya thamani Kwa wanao hitimu mfano Tv,majiko ya Gas mara nyingi wanao hitimu wanauza uza sana vitu Gas, madishi ya Azam,visabufa, tena nunua bei ya chini kabisa mfano mtu ana dish ya Azam nunua hata Kwa 60000 weka kauze Ata 90000 au 100,000 Tv nch 32 nunua Ata Kwa 140000 wew kauze 180000 au 200000 sehem za kuuzia tafuta wale wauzaji wa vitu vya mtumba ukiwa dar itakufaa zaidi au kama una jicho la kulenga simu pia fanya ila kama unaona ngumu pia sio lazima
Simu kivipi mkuu, nazinunua au nakuwa dalali na wapi naweza pata na mtaji kiasi gani? Kwako kiongozi
 
Simu kivipi mkuu, nazinunua au nakuwa dalali na wapi naweza pata na mtaji kiasi gani? Kwako kiongozi
Wew si upo chuo mtaji wako sio lazima uwe sjui Milioni kumi au sjui tatu wew unaweza kuanza Ata na kununua simu mbili au tatu Kwa wanafunzi wezako zeni unaziuza ikiwezekana omba na Risti na box la simu ili kuepukua kama ni za wizi na hakikisha unajua bei ya dukani ili ikupe urahisi kweny kuuza na kama mtaji unakua shida labda Kuna mtu ana simu mkononi afu huna cash mwambie nipe nikauze na kaka angu ana duka lake zeni kimbiza Kwa wauzaji wa simu za mtumba ipige bei chako weka mfukoni Cha watu peleka kama hakuamini chukua nenda naye hadi Kwa wauzaji zeni wew simamia shoo kweny kuuza kama upo dar sehem za kuuza simu used zipo nying sana kariakoo, mawasiliano ,wakati mwingne uwe unanunua hadi cover za simu unaenda kuwauzia chuoni huko huko kwahiyo unapiga 2 in one ukiweza zaidi jifunze na kutengeneza japo huwez kutengeneza simu ukiwa chuo ila itakusaidia mbele ya safari
 
Wew si upo chuo mtaji wako sio lazima uwe sjui Milioni kumi au sjui tatu wew unaweza kuanza Ata na kununua simu mbili au tatu Kwa wanafunzi wezako zeni unaziuza ikiwezekana omba na Risti na box la simu ili kuepukua kama ni za wizi na hakikisha unajua bei ya dukani ili ikupe urahisi kweny kuuza na kama mtaji unakua shida labda Kuna mtu ana simu mkononi afu huna cash mwambie nipe nikauze na kaka angu ana duka lake zeni kimbiza Kwa wauzaji wa simu za mtumba ipige bei chako weka mfukoni Cha watu peleka kama hakuamini chukua nenda naye hadi Kwa wauzaji zeni wew simamia shoo kweny kuuza kama upo dar sehem za kuuza simu used zipo nying sana kariakoo, mawasiliano ,wakati mwingne uwe unanunua hadi cover za simu unaenda kuwauzia chuoni huko huko kwahiyo unapiga 2 in one ukiweza zaidi jifunze na kutengeneza japo huwez kutengeneza simu ukiwa chuo ila itakusaidia mbele ya safari
Noted broh! Shukrani mkuu, naamini hili dili litasaidia kwani sio costful na wala halitumii muda mwingi
 
Bless up mkuu, hii mishe ya vitu used nimekupata but hii mishe ya simu inaendaje mkuu
Be careful maana mstari unaotenganisha vitu used na vitu vya wizi ni very thin waweza jikuta unaangukia kwenye matatizo na vyombo vya dola.

Kama uko vizuri tafuta camera the best one Kwa low price uwe photographer jifunze na kuedit utapata tenda kwenye Vibirthday uchwala pamoja na picha za location za kawaida si unajua wanachuo walivyokuwa na fujo kwenye social network ila tatizo wengi wanamiliki simu zenye camera mbovu.
 
Wew si upo chuo mtaji wako sio lazima uwe sjui Milioni kumi au sjui tatu wew unaweza kuanza Ata na kununua simu mbili au tatu Kwa wanafunzi wezako zeni unaziuza ikiwezekana omba na Risti na box la simu ili kuepukua kama ni za wizi na hakikisha unajua bei ya dukani ili ikupe urahisi kweny kuuza na kama mtaji unakua shida labda Kuna mtu ana simu mkononi afu huna cash mwambie nipe nikauze na kaka angu ana duka lake zeni kimbiza Kwa wauzaji wa simu za mtumba ipige bei chako weka mfukoni Cha watu peleka kama hakuamini chukua nenda naye hadi Kwa wauzaji zeni wew simamia shoo kweny kuuza kama upo dar sehem za kuuza simu used zipo nying sana kariakoo, mawasiliano ,wakati mwingne uwe unanunua hadi cover za simu unaenda kuwauzia chuoni huko huko kwahiyo unapiga 2 in one ukiweza zaidi jifunze na kutengeneza japo huwez kutengeneza simu ukiwa chuo ila itakusaidia mbele ya safari
Hizo biashara uchelewi kuangushiwa jumba bovu, labda uwe na urafiki na mkuu wa kituo Cha polisi karibu na unapofanyia mishe zako.
 
Be careful maana mstari unaotenganisha vitu used na vitu vya wizi ni very thin waweza jikuta unaangukia kwenye matatizo na vyombo vya dola.

Kama uko vizuri tafuta camera the best one Kwa low price uwe photographer jifunze na kuedit utapata tenda kwenye Vibirthday uchwala pamoja na picha za location za kawaida si unajua wanachuo walivyokuwa na fujo kwenye social network ila tatizo wengi wanamiliki simu zenye camera mbovu.
Thanks broh, the ideas which I want
 
siyo kila mwanafunzi aliye chuoni ni mjanja/kapambazuka. Siyo kila mmoja anajua vitu vizuri na vinakopatikana. Wafanye wenzako wapendeze na kunukia vizuri, jua perfumes/body spray/ deodorant zinazobamba na ambazo wengi hawazifahamu. Lotion na mafuta mazuri kwa jinsia zote.
 
Una mzunguko mzuri wa hela, kopesha wenzako kwa riba ya 15% hadi 20% ndani ya mwezi. Lakini ujiandae kupambana na wasiorudisha
 
Back
Top Bottom