johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wafanyabiashara na wasafirishaji wa Songea mjini wamegoma wakitaka kukutana na viongozi wa mkoa ili kutatua changamoto zinazowakabili.
Wafanyabiashara hao wamedai wanafanya kazi katika mazingira magumu sana na mitaji yao inazidi kufa.
Hata hivyo mkuu wa wilaya ya Songea ndugu Cosmas ameibuka na kutoa saa 24 wafanyabiashara hao wafungue maduka vinginevyo watapata tabu sana.
Nao LATRA wamefuti ruti ya mabasi yatokayo Songea mjini kwenda Mbinga kufuatia mgomo huo.
Chanzo: ITV habari.
Maendeleo hayana vyama!
Wafanyabiashara hao wamedai wanafanya kazi katika mazingira magumu sana na mitaji yao inazidi kufa.
Hata hivyo mkuu wa wilaya ya Songea ndugu Cosmas ameibuka na kutoa saa 24 wafanyabiashara hao wafungue maduka vinginevyo watapata tabu sana.
Nao LATRA wamefuti ruti ya mabasi yatokayo Songea mjini kwenda Mbinga kufuatia mgomo huo.
Chanzo: ITV habari.
Maendeleo hayana vyama!