johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wafanyabiashara wadogo katika soko jipya la Mbezi Beda Ubungo wamemlaumu mkuu wao wa wilaya Kheri James kwa kuwarejesha baadhi ya wafanyaniashara maeneo yasiyo rasmi.
Wamedai kila wakimfata DC James ofisini kwake anawaambia wakaanxie kwanza kwa mchungaji kabla ya kwenda kwa askofu akimaanisha mchungaji ni Afisa Biashara na askofu ni yeye ( DC)
Wafanyabiashara hao wametafsiri vitendo vya DC James kama hujuma za makusudi dhidi ya agizo la mamlaka ya juu hivyo wamemuomba RC Makalla kuingilia kati kabla hali ya hewa haijachafuka hapo Ubungo wilayani.
Chanzo: ITV habari
Wamedai kila wakimfata DC James ofisini kwake anawaambia wakaanxie kwanza kwa mchungaji kabla ya kwenda kwa askofu akimaanisha mchungaji ni Afisa Biashara na askofu ni yeye ( DC)
Wafanyabiashara hao wametafsiri vitendo vya DC James kama hujuma za makusudi dhidi ya agizo la mamlaka ya juu hivyo wamemuomba RC Makalla kuingilia kati kabla hali ya hewa haijachafuka hapo Ubungo wilayani.
Chanzo: ITV habari