Mkuu wa Wilaya Heri Jemsi amepooza sana kinyume na matarajio ya wengi.
wengi walidhani atakuwa mkuu wa wilaya machachari kutokana na uzoefu wake, lkn wapi wilaya imepoaaza kama ilivyo kuwa kipindi cha mze Makori.
tunamuomba ndugu Jemsi achangamke kama Gondwe au zaidi.