Wafanyabiashara tu: Come update mikopo nafuu na kwa haraka

Mkuu nilikutumia 'PM' hukunijibu, nimekutumia email leo; unless if you smelled I'm not genuine!!:teeth:

Mkuu pole sana.. I ddnt see hiyo pm but av got ua email mkuu. ntakujibu soon chief.
 

nyie mko dar tu lakini tangazo lenu linalenga tanzania yote,kwanini?
 
Hata bado sijaelewa but nataka dip details kuhusu hiii kitu cox nataka mkopo for real cox now nko Na Crdb but nakuja kwenye email
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…