Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
- Thread starter
-
- #41
Mkuu nilikutumia 'PM' hukunijibu, nimekutumia email leo; unless if you smelled I'm not genuine!!:teeth:
Wadau,
Je, Wewe ni mfanyabiashara? na je Biashara yako imesajiliwa? na Jeu na nia ama mawazo ya kujitanua zaidi kibiashara? na je, una tenda mpya on the way na unahitaji kua funded ili kurahisisha utekelezaji wa tenda yako?
Basi International Commercial Bank tupo tayari kukusaidia...
Tunatoa Mikopo kama vile Overdraft na term loans Mahsusi ka ajili ya wafanyabiashara wa aian zote.
1. Term Loan
- Mkopo huu unatoka kwa kati ya miaka 3, 5 hadi 10
- Mkopo huu uaaniza 100mil hadi 2.5 bil
- Mkopo huu haswa ni kwa ajili ya longterm investments (Projects) kwa wale ambao wako kwenye biashara kwa sasa na wanauhitaji wa kuinvest zaidi.
- Mkopo huu, Ni kwa ajili ya kujitanua kibiashara kwa wafanyabiashara wa aina tofauti tofauti.
2. OverDraft
- Mkopo huu kwa jina jingine unafahamika kama "Working Capital"
- Mkopo huu unatoka kwa maximum 1 year
- Mkopo huu interest huchajiwa riba kwenye kiasi kilichotumika tuu.
- Mkopo Huu ni working capital kwa wafanyabiashara wenye uhitaji wa kua boosted financially so as kurahisisha utekelezaji wa project flani ama mizigo fani e.t.c
NB: ZINGATIA VIGEZO:
1. Dhamana-Iwe mali isiyohamishika.
2. Bank Statement- Kuonyesha mzunguko wa biashara yako kibenki, na iwe ya bank yoyote ile.
Kwa Mawasiliano Zaidi,
Contact ME:
Email- Ibrahim@icbank-tz.com
Line- +255 22 2150094
Mobile- 0652590519