Wafanyabiashara wa Kariakoo Jiandaeni kwa mabadiliko haya

Wafanyabiashara wa Kariakoo Jiandaeni kwa mabadiliko haya

B M F ICONIC

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
824
Reaction score
1,631
Kama ilivyo kariakoo wafanya biashara wengi wanafanya biashara ya B2B yaani Busness to bussness ( mtu ununua bidhaa na kuiuza hio bidhaa iliapate faida/profit.
Wa China na watu wenye viwanda wao ufanya B2C yaani Busness to consumption ( uunda bidhaa kiwandani kisha kuiuza kwa mlaji, ndo profit/faida wanapoipatia)

Kama ambavyo wafanya biashara wa kariakoo uwa wanawalalamikia wachina waliopo kariakoo kuuza bidhaa zao kwa bei nafuu kitu ambacho kina athiri wafanya biashara wa ndani .

Mfano wa kinachofanyika katika hii biashara .
Mtanzania anaenda China na vielelezo vyake yaan TIN number , Nida nk na ana mshawishi mchina hasa mwenye kiwanda na kula nae contract kuwa mchina kwa vile ana kiwanda basi asafirishe bishaa zake kwa wingi na kupeleka Tanzania ambapo huyu Mtanzania ndo atakua msimamizi wa Godown. Mikataba hii ufanya bidhaa iuuzwe bei rahisi kwani bidhaa usafirishwa kwa wingi tofauti na ile ya MOQ (minimum order quantity)

Sasa hali hii☝️☝️ imetokea kenya. Kuna bidada anaitwa Shiquo. Huyo dada baada ya kula contract na mchina basi anauza vitu bei chee kupindukia hadi wale wanaofanyaga biashara ya kwenda china kununua mzigo au kuwanunulia watu ili MOQ ifike wanaona bora wachukue kwa huyo bidada nchini.

Mtindo huu wa contract wanaufanya pia wabongo wachache mfano ni yule bidada alie kamatwa kwa kuchangisha fedha za maafa.

Taharuki itaanzia hapa
Screenshot_20241204-085243_Opera Mini.jpg

Siku kituo hiki cha biashara kikikamilika na kuanza kazi basi hii mikataba na wachina itakua mingi .pia wachina watakalibishwa kuwekeza nchini na wata jaza magodown kwa bidhaa na kuuza vitu bei chee kitu ambacho kitaathiri wafanyabiashara wa kariakoo wanaofanya B2B kwani kodi ya fremu ipo juu ukizingatia ushuru na Tozo zimesimama hali itakayofanya biashara nyingi kushindwa kuendelea

Wafanya biashara wa Kkoo tujipange kwa mabadiliko haya huko mbeleni na kuacha tabia ile ya kuuza bidhaa kwa kujiskia kua hapa ni 'mtakuja'.

Suluhisho
Panga mikakati katika biashara yako itakayo tengeneza Royal customer watakao kuwa na wewe in whatever happens. kwani wabongo upenda vitu cheap na wataenda upande wa mchina na kuwaacha wauzaji wakibongo.

Kwani huko kenya wafanya biashara wana mlalamikia huyo bidada na hio strategy yake ya contract badala ya wao kutengeneza mikakati itakayo okoa biashara yao pamoja na wateja wao

Tengeneza Good service au good product iuze kwa reasonable price yenye good customer care ili siku mchina akileta bidhaa zake kwenye Godown nchini uweze kuendana na mabadiliko na bei atakayo kuja nayo wateja wako wasije kukukimbia, biashara yako ikafa na uanze kulalamikia serikali na wachina kwani wafanya biashara wengi sio ma Celebrity/ super star ambao mteja uwa ananua bidhaa kwa bei ya juu kisa muuzaji ni mtu maarafu na anapata pride pale anapouziwa bidhaa na Star huyo.

Tengeneza social media presence; ni muda sasa wa wafanya biashara kuiingia kwenye mitandao ya kijamii kama instagram, tiktok.. nk ili watengeneze community/ jamii
Jamii au followers hao uta showcase product na huduma yako

Huko kenya wafanya biashara ambao walikuwa sio watu wa mitandao wameishia kulalamika kwani walifanya biashara kimazoea " kua hapa ni mtakuja"
Wateja wote wamemkimbilia huyo bidada na mchina wake hali inayowafanya wauze bidhaa zao kwa bei ya chini ili warudishe pesa ya mzigo ukizingatia kodi ya fremu ipo juu.

View: https://x.com/millardayo/status/1876218889635283018?t=xIhwPx1pLWbJTTNOfMHtEg&s=08
Viongozi wa kariakoo waomba mazungumzo

View: https://www.instagram.com/reel/DEnQCN4i-hN/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
# Jiandae kwa yajayo mbeleni

Nawasilisha.......
 
Kama ilivyo kariakoo wafanya biashara wengi wanafanya biashara ya B2B yaani Busness to bussness ( mtu ununua bidhaa na kuiuza hio bidhaa iliapate faida/profit.
Wa China na watu wenye viwanda wao ufanya B2C yaani Busness to consumption ( uunda bidhaa kiwandani kisha kuiuza kwa mlaji, ndo profit/faida wanapoipatia)

Kama ambavyo wafanya biashara wa kariakoo uwa wanawalalamikia wachina waliopo kariakoo kuuza bidhaa zao kwa bei nafuu kitu ambacho kina athiri wafanya biashara wa ndani .

Mfano wa kinachofanyika katika hii biashara .
Mtanzania anaenda China na vielelezo vyake yaan TIN number , Nida nk na ana mshawishi mchina hasa mwenye kiwanda na kula nae contract kuwa mchina kwa vile ana kiwanda basi asafirishe bishaa zake kwa wingi na kupeleka Tanzania ambapo huyu Mtanzania ndo atakua msimamizi wa Godown. Mikataba hii ufanya bidhaa iuuzwe bei rahisi kwani bidhaa usafirishwa kwa wingi tofauti na ile ya MOQ (minimum order quantity)

Sasa hali hii☝️☝️ imetokea kenya. Kuna bidada anaitwa Shiquo. Huyo dada baada ya kula contract na mchina basi anauza vitu bei chee kupindukia hadi wale wanaofanyaga biashara ya kwenda china kununua mzigo au kuwanunulia watu ili MOQ ifike wanaona bora wachukue kwa huyo bidada nchini.

Mtindo huu wa contract wanaufanya pia wabongo wachache mfano ni yule bidada alie kamatwa kwa kuchangisha fedha za maafa.

Taharuki itaanzia hapa
View attachment 3170252
Siku kituo hiki cha biashara kikikamilika na kuanza kazi basi hii mikataba na wachina itakua mingi .pia wachina watakalibishwa kuwekeza nchini na wata jaza magodown kwa bidhaa na kuuza vitu bei chee kitu ambacho kitaathiri wafanyabiashara wa kariakoo wanaofanya B2B kwani kodi ya fremu ipo juu ukizingatia ushuru na Tozo zimesimama hali itakayofanya biashara nyingi kushindwa kuendelea

Wafanya biashara wa Kkoo tujipange kwa mabadiliko haya huko mbeleni na kuacha tabia ile ya kuuza bidhaa kwa kujiskia kua hapa ni 'mtakuja'.

Suluhisho
Panga mikakati katika biashara yako itakayo tengeneza Royal customer watakao kuwa na wewe in whatever happens. kwani wabongo upenda vitu cheap na wataenda upande wa mchina na kuwaacha wauzaji wakibongo.

Kwani huko kenya wafanya biashara wana mlalamikia huyo bidada na hio strategy yake ya contract badala ya wao kutengeneza mikakati itakayo okoa biashara yao pamoja na wateja wao

Tengeneza Good service au good product iuze kwa reasonable price yenye good customer care ili siku mchina akileta bidhaa zake kwenye Godown nchini uweze kuendana na mabadiliko na bei atakayo kuja nayo wateja wako wasije kukukimbia, biashara yako ikafa na uanze kulalamikia serikali na wachina kwani wafanya biashara wengi sio ma Celebrity/ super star ambao mteja uwa ananua bidhaa kwa bei ya juu kisa muuzaji ni mtu maarafu na anapata pride pale anapouziwa bidhaa na Star huyo.

Tengeneza social media presence; ni muda sasa wa wafanya biashara kuiingia kwenye mitandao ya kijamii kama instagram, tiktok.. nk ili watengeneze community/ jamii
Jamii au followers hao uta showcase product na huduma yako

Huko kenya wafanya biashara ambao walikuwa sio watu wa mitandao wameishia kulalamika kwani walifanya biashara kimazoea " kua hapa ni mtakuja"
Wateja wote wamemkimbilia huyo bidada na mchina wake hali inayowafanya wauze bidhaa zao kwa bei ya chini ili warudishe pesa ya mzigo ukizingatia kodi ya fremu ipo juu.

# Jiandae kwa yajayo mbeleni

Nawasilisha.......
MnWakakuza tu hao wachina, kuna Wachina kibao biashara zinawashinda wanafunga wanarudi kwao sababu Watanzania wanafanya vizuri zaidi.
 
Mabadiliko huwa siku zote yapo, ni kuwa tayari kuyakubali,,,, muda haumsubiri mtu ! Mtindo wa biashara miaka ya 1990's sio sawa na ya 2000's
 
Upo kwenye hii industry?
Nipo ndio nakupa mfano mchache tu wa Gsm.

Rudi nyuma miaka 3-5 soko la mashuka walikua wamekamata wachina, Kaingia Gsm Kaleta shuka na maduvet wachina kibao wanafungasha virago, mchina mmoja personally namfahamu biashara imemshinda anafunga na kuna wachina wengi tu majirani wanapumulia mashine.

Ukishakua na mtaji mkubwa in billions ukienda China uka chukua makontena kwa makumi UNAFKIRI hawa wachina wa kawaida wa frame watakusumbua?
 
Ukishakua na mtaji mkubwa in billions ukienda China uka chukua makontena kwa makumi UNAFKIRI hawa wachina wa kawaida wa frame watakusumbua?
Hawakusumbui kabisa.

Shida ipo kwa wafanya biashara wa bongo mitaji yetu ndo midogo ina range kuanzia million 10 mpka 50 hv. Ukisema uende china gharama na maradhi mzigo utachukua kidogo, wengi tunakimbilia ile ya kufikisha MOQ.

Hapo tuseme mzigo umefika nchini. Alafu ukute kuna mtu kama Nifwar kala contract na mchina mwenye kiwanda huwa wana safirisha macontena tena wanauza bei chee kupindukia. Ukianza kutoa kodi ya fremu, tozo na makato unaona bora uuze tu kwa bei yao pesa yako irudi
 
MKuu nipe sbule. Mimi nimeishia darasa la 5 B pale mzambarauni primary school

Kwa uelewa wangu Wachina wengi ndo hufanya B2B (Business to Business) kwa sababu ana mzigo mkubwa Kiwandani au Godown Anawauzia sana wafanya biashara (wholesalers na Retailers) ambao wanachukua mzigo kwa wingi

Ila Kwenye maelezo yako umesema Wanafanya B2C (Business to consumer ) yani wanawauzia watumiaji moja kwa moja ambao wananunua vitu kwa idadi ndogo sasa mtu mwenye kiwanda kuuza bidhaa moja moja ni ngumu


Na kuhusu hiyo Mikataba ya wachina upo sahihi kitaalamu wanaiita Consignment,unachukua mzigo unalipia ukishauza mnagawana percent zenu
 
Kwa uelewa wangu Wachina wengi ndo hufanya B2B (Business to Business) kwa sababu ana mzigo mkubwa Kiwandani au Godown Anawauzia sana wafanya biashara (wholesalers na Retailers) ambao wanachukua mzigo kwa wingi
Mimi nimeandika wachina na wenye viwanda nikilenga kuwa wao ndo producers wa product ( wao ndo wenye technology ya kutengeneza hio bidhaa) wanatuuzia sisi ma consumers kina wholesalers na retailer tukafanye B2B.

Mwenye kiwanda kafanya Busnes to consumption yaani producer to consumer. Cunsumer nae akiamua kuuza ndo inakua B2B
 
Mimi nimeandika wachina na wenye viwanda nikilenga kuwa wao ndo producers wa product ( wao ndo wenye technology ya kutengeneza hio bidhaa) wanatuuzia sisi ma consumers kina wholesalers na retailer tukafanye B2B.

Mwenye kiwanda kafanya Busnes to consumption yaani producer to consumer. Cunsumer nae akiamua kuuza ndo inakua B2B

Wholesaler na retailers sio consumers wao ni business pia

Watakao nunua kutoka kwa wholesalers na retailers ndo consumers
 
Wholesaler na retailers sio consumers wao ni business pia

Watakao nunua kutoka kwa wholesalers na retailers ndo consumers
kwa upande wa mwenye kiwanda, yeye consumer wake ni watu wa wholesale , retailer na watakao wauzia.
Ndo soko lake lilipo.

Usilichukue neno consumer kama mlaji wa bidhaa tu.. Anaweza kuwa consumer direct au indirect kwa yeye kuchukua bidhaa na kuiuza kwa watu wengine)
 
kwa upande wa mwenye kiwanda, yeye consumer wake ni watu wa wholesale , retailer na watakao wauzia.
Ndo soko lake lilipo.

Usilichukue neno consumer kama mlaji wa bidhaa tu.. Anaweza kuwa consumer direct au indirect kwa yeye kuchukua bidhaa na kuiuza kwa watu wengine)

Sasa hivi ndo umeiweka vizuri ,nadhani sasa tumeelewana
 
ata sikupingi ni swala la muda tu karikoo inaenda kushuka ao wachina wawili TU wa solar max na alitop wamekuja kuua soko la Tv itakua yule wa ubungo lazima watu tujipange
Hata hao wachina wawili ambao wanaonekana kusumbua kuna watu bado wanashindana nao vizuri tuu. Hakuna kukubwa sana wanachokifanya. Sababu wanachofanya ni importation ya raw materials za TV na kuja kufanya assembling hapa TZ ( wanaimport container zenye spares kama vioo, spika, housing, nk) kisha wakilifikisha huku wanafanya assembling kupata TV kamili. Vivyo hivyo kwa vifaa vingine kama subwoofer nk.

Hii inawapa faida kuu mbili.
1. Kwa kuwa wanaingiza kama spare, basi kodi yake inakuwa siyo kubwa. Kwani spares zinachajiwa 10% ilhali complete TV ushuru wake ni 25%.

2. Katika container moja wanao uwezo wa kuweka vifaa ambavyo vitakuja unda TV nyingi kulikoni ukisema usafirisha TV zilizo complete. Mfano, ukiweka spea katika container unaweza jaza spea ambazo zikija kuwa assembled zikakupa TV zilizokamilika PC 2000 ilihali ukisema TV hizohizo usafirishe zikiwa zimekamilika, basi katika container hilohilo zitatoshea TV 1000 PC. Hii inapelekea kuwa na good economy of scale. Kumbuka Gharama ya kusafirisha container ni ileile haijalishi ndani umeweka PCS ngapi.

Pia

Assembling unit ya TV yenye conveyor zipo nyingi tuu na bei zake si kubwa. Wa TZ tunakosa uthubutu wa namna hii na commitment. Ila ikitokea una uthubutu, supervision nzuri, commitment. Hakika unakula nao sahani moja.

Nipo katika hyo industry ya electronics.
 
Kama ilivyo kariakoo wafanya biashara wengi wanafanya biashara ya B2B yaani Busness to bussness ( mtu ununua bidhaa na kuiuza hio bidhaa iliapate faida/profit.
Wa China na watu wenye viwanda wao ufanya B2C yaani Busness to consumption ( uunda bidhaa kiwandani kisha kuiuza kwa mlaji, ndo profit/faida wanapoipatia)

Kama ambavyo wafanya biashara wa kariakoo uwa wanawalalamikia wachina waliopo kariakoo kuuza bidhaa zao kwa bei nafuu kitu ambacho kina athiri wafanya biashara wa ndani .

Mfano wa kinachofanyika katika hii biashara .
Mtanzania anaenda China na vielelezo vyake yaan TIN number , Nida nk na ana mshawishi mchina hasa mwenye kiwanda na kula nae contract kuwa mchina kwa vile ana kiwanda basi asafirishe bishaa zake kwa wingi na kupeleka Tanzania ambapo huyu Mtanzania ndo atakua msimamizi wa Godown. Mikataba hii ufanya bidhaa iuuzwe bei rahisi kwani bidhaa usafirishwa kwa wingi tofauti na ile ya MOQ (minimum order quantity)

Sasa hali hii☝️☝️ imetokea kenya. Kuna bidada anaitwa Shiquo. Huyo dada baada ya kula contract na mchina basi anauza vitu bei chee kupindukia hadi wale wanaofanyaga biashara ya kwenda china kununua mzigo au kuwanunulia watu ili MOQ ifike wanaona bora wachukue kwa huyo bidada nchini.

Mtindo huu wa contract wanaufanya pia wabongo wachache mfano ni yule bidada alie kamatwa kwa kuchangisha fedha za maafa.

Taharuki itaanzia hapa
View attachment 3170252
Siku kituo hiki cha biashara kikikamilika na kuanza kazi basi hii mikataba na wachina itakua mingi .pia wachina watakalibishwa kuwekeza nchini na wata jaza magodown kwa bidhaa na kuuza vitu bei chee kitu ambacho kitaathiri wafanyabiashara wa kariakoo wanaofanya B2B kwani kodi ya fremu ipo juu ukizingatia ushuru na Tozo zimesimama hali itakayofanya biashara nyingi kushindwa kuendelea

Wafanya biashara wa Kkoo tujipange kwa mabadiliko haya huko mbeleni na kuacha tabia ile ya kuuza bidhaa kwa kujiskia kua hapa ni 'mtakuja'.

Suluhisho
Panga mikakati katika biashara yako itakayo tengeneza Royal customer watakao kuwa na wewe in whatever happens. kwani wabongo upenda vitu cheap na wataenda upande wa mchina na kuwaacha wauzaji wakibongo.

Kwani huko kenya wafanya biashara wana mlalamikia huyo bidada na hio strategy yake ya contract badala ya wao kutengeneza mikakati itakayo okoa biashara yao pamoja na wateja wao

Tengeneza Good service au good product iuze kwa reasonable price yenye good customer care ili siku mchina akileta bidhaa zake kwenye Godown nchini uweze kuendana na mabadiliko na bei atakayo kuja nayo wateja wako wasije kukukimbia, biashara yako ikafa na uanze kulalamikia serikali na wachina kwani wafanya biashara wengi sio ma Celebrity/ super star ambao mteja uwa ananua bidhaa kwa bei ya juu kisa muuzaji ni mtu maarafu na anapata pride pale anapouziwa bidhaa na Star huyo.

Tengeneza social media presence; ni muda sasa wa wafanya biashara kuiingia kwenye mitandao ya kijamii kama instagram, tiktok.. nk ili watengeneze community/ jamii
Jamii au followers hao uta showcase product na huduma yako

Huko kenya wafanya biashara ambao walikuwa sio watu wa mitandao wameishia kulalamika kwani walifanya biashara kimazoea " kua hapa ni mtakuja"
Wateja wote wamemkimbilia huyo bidada na mchina wake hali inayowafanya wauze bidhaa zao kwa bei ya chini ili warudishe pesa ya mzigo ukizingatia kodi ya fremu ipo juu.

# Jiandae kwa yajayo mbeleni

Nawasilisha.......
Mleta mada, hao wanaofanya biashara kwa trending wala si tishio kama wengi wanavyowahofia hususan katia biashara za vifaa vya umeme na electronics.

Na point ipo hapa.
Biashara ya electronics na vyombo vya umeme ni biashara ya tofauti kidogo na biashara zingine. Kwani, unapomuuzia kifaa mteja, unampatia na warranty. Ile warranty ni kama kifungo. Mteja anaweza tumia kifaa, kufikia mwezi wa 3 kikamsumbua. Atakupigia simu. Sasa hapo ni mawili, umbadilishie ama umsolvie hiko kipengele kwa kumtengenezea. Kinyume na hapo, ndiyo majina ya tapeli, mwizi nk yatakuandama

Assume wewe ulienda china ukaweka tangazo let say la Blender watu wakakutumia pesa uwanunulie. Mind you hujanunia unit extra kwa ajili ya changamoto hizo. Pia wewe Electronics siyo biashara yako kuu ila ilipita nayo kwa upepo kwa kipindi hicho kwa kuwa ilikuwa na upepo. Mteja anaporudi baada ya miezi mitatu, anakukuta wewe ulishasahau hata kama ulifanya hiyo biashara. Hivyo anapokuja na kipengele inahitaji moyo wa kipekee kumsolvia kipengele as itakubidi utoe pesa mfukoni usolve. Mbaya zaidi hao watu wanapoendaga agizisha hizo bidhaa, kwa kutokujia ama kwa makusudi, huwa wanachukuaga bidhaa zenye low quality. Mfano kwa Blender unakuta mtu anachukua blender zenye motor zilizosukwa na nyaya hafifu nk. Hii inapelekea blender kuharibika kabla ya wakati ama warranty kuisha.

Na ndiyo maana hao unaowazungumzia, kwa sasa huoni tena wakifanya biashara ama kuwakusanyisha watu pesa kwa ajili ya kuwanunulia bidhaa za electronics.
 
Kama ilivyo kariakoo wafanya biashara wengi wanafanya biashara ya B2B yaani Busness to bussness ( mtu ununua bidhaa na kuiuza hio bidhaa iliapate faida/profit.
Wa China na watu wenye viwanda wao ufanya B2C yaani Busness to consumption ( uunda bidhaa kiwandani kisha kuiuza kwa mlaji, ndo profit/faida wanapoipatia)

Kama ambavyo wafanya biashara wa kariakoo uwa wanawalalamikia wachina waliopo kariakoo kuuza bidhaa zao kwa bei nafuu kitu ambacho kina athiri wafanya biashara wa ndani .

Mfano wa kinachofanyika katika hii biashara .
Mtanzania anaenda China na vielelezo vyake yaan TIN number , Nida nk na ana mshawishi mchina hasa mwenye kiwanda na kula nae contract kuwa mchina kwa vile ana kiwanda basi asafirishe bishaa zake kwa wingi na kupeleka Tanzania ambapo huyu Mtanzania ndo atakua msimamizi wa Godown. Mikataba hii ufanya bidhaa iuuzwe bei rahisi kwani bidhaa usafirishwa kwa wingi tofauti na ile ya MOQ (minimum order quantity)

Sasa hali hii☝️☝️ imetokea kenya. Kuna bidada anaitwa Shiquo. Huyo dada baada ya kula contract na mchina basi anauza vitu bei chee kupindukia hadi wale wanaofanyaga biashara ya kwenda china kununua mzigo au kuwanunulia watu ili MOQ ifike wanaona bora wachukue kwa huyo bidada nchini.

Mtindo huu wa contract wanaufanya pia wabongo wachache mfano ni yule bidada alie kamatwa kwa kuchangisha fedha za maafa.

Taharuki itaanzia hapa
View attachment 3170252
Siku kituo hiki cha biashara kikikamilika na kuanza kazi basi hii mikataba na wachina itakua mingi .pia wachina watakalibishwa kuwekeza nchini na wata jaza magodown kwa bidhaa na kuuza vitu bei chee kitu ambacho kitaathiri wafanyabiashara wa kariakoo wanaofanya B2B kwani kodi ya fremu ipo juu ukizingatia ushuru na Tozo zimesimama hali itakayofanya biashara nyingi kushindwa kuendelea

Wafanya biashara wa Kkoo tujipange kwa mabadiliko haya huko mbeleni na kuacha tabia ile ya kuuza bidhaa kwa kujiskia kua hapa ni 'mtakuja'.

Suluhisho
Panga mikakati katika biashara yako itakayo tengeneza Royal customer watakao kuwa na wewe in whatever happens. kwani wabongo upenda vitu cheap na wataenda upande wa mchina na kuwaacha wauzaji wakibongo.

Kwani huko kenya wafanya biashara wana mlalamikia huyo bidada na hio strategy yake ya contract badala ya wao kutengeneza mikakati itakayo okoa biashara yao pamoja na wateja wao

Tengeneza Good service au good product iuze kwa reasonable price yenye good customer care ili siku mchina akileta bidhaa zake kwenye Godown nchini uweze kuendana na mabadiliko na bei atakayo kuja nayo wateja wako wasije kukukimbia, biashara yako ikafa na uanze kulalamikia serikali na wachina kwani wafanya biashara wengi sio ma Celebrity/ super star ambao mteja uwa ananua bidhaa kwa bei ya juu kisa muuzaji ni mtu maarafu na anapata pride pale anapouziwa bidhaa na Star huyo.

Tengeneza social media presence; ni muda sasa wa wafanya biashara kuiingia kwenye mitandao ya kijamii kama instagram, tiktok.. nk ili watengeneze community/ jamii
Jamii au followers hao uta showcase product na huduma yako

Huko kenya wafanya biashara ambao walikuwa sio watu wa mitandao wameishia kulalamika kwani walifanya biashara kimazoea " kua hapa ni mtakuja"
Wateja wote wamemkimbilia huyo bidada na mchina wake hali inayowafanya wauze bidhaa zao kwa bei ya chini ili warudishe pesa ya mzigo ukizingatia kodi ya fremu ipo juu.

# Jiandae kwa yajayo mbeleni

Nawasilisha.......
binafsi ninachojali ni bidhaa bora na ya bei reasonable, regardless of nani ameleta au nani anauza.
 
Back
Top Bottom