Wafanyabiashara wa Kariakoo wampiga chini Mwenyekiti wao zamani. Wamchagua Severin Mushi kama kiongozi wao mpya

Wafanyabiashara wa Kariakoo wampiga chini Mwenyekiti wao zamani. Wamchagua Severin Mushi kama kiongozi wao mpya

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Wafanyabiashara wa Kariakoo wamemchagua Mwenyekiti wao mpyA anayeitwa Severini Mushi aliyepata kura 229 akimshinda, Martin Mbwana aliyekuwa akitetea kiti hicho ambaye amepata kura 12.

Soma pia: Kariakoo: Kiongozi wa Wafanyabiashara azomewa

Uchaguzi huo umefanyika Alhamisi Desemba 5, 2024 jijini Dar es Salaam.



Source: Mwananchi
 
Wakuu,

Wafanyabiashara wa Kariakoo wamemchagua Mwenyekiti wao mpyA anayeitwa Severini Mushi aliyepata kura 229 akimshinda, Martin Mbwana aliyekuwa akitetea kiti hicho ambaye amepata kura 12.

Soma pia: Kariakoo: Kiongozi wa Wafanyabiashara azomewa

Uchaguzi huo umefanyika Alhamisi Desemba 5, 2024 jijini Dar es Salaam.

View attachment 3170472

Source: Mwananchi
Hii inaonyesha Bwana mbwana alikuwa hakubaliki na wafanyabiashara wenzake,yaani hata robo tatu ya kura kashindwa kufika,ila nao wapiga kura wanasiri sana moyoni,itakuwa kabla ya kupiga kura walimpa matumaini ya kushinda ila moyoni mwao kuna jambo wameshalipanga kumpiga chini
 
Wakuu,

Wafanyabiashara wa Kariakoo wamemchagua Mwenyekiti wao mpyA anayeitwa Severini Mushi aliyepata kura 229 akimshinda, Martin Mbwana aliyekuwa akitetea kiti hicho ambaye amepata kura 12.

Soma pia: Kariakoo: Kiongozi wa Wafanyabiashara azomewa

Uchaguzi huo umefanyika Alhamisi Desemba 5, 2024 jijini Dar es Salaam.

View attachment 3170472

Source: Mwananchi
Kuchagua kiongozi mpya siyo kumpiga chini wa zamani. Mabadiliko ya uongozi ni muhimu kupata mawazo mapya, siyo lazima wawe kama vyama fulani vya siasa kuweka ma ayattolah miaka na miaka.
 
Wachagga na siasa za masoko baada ya vile za majimbo kuwashinda

USSR
Hakuna mahali penye nguvu ya kisiasa kama Kariakoo ni kwa vile wale mabwana hawajui au hawataki kufanya siasa. Wakiammua kugomea kitu ni heri CDM na vyama vyote vya upinzani wagome kuliko watu wa K'koo.
 
Demokrasia ndo ilivyo. Cha muhimu mwenyekiti mpya asijiingize kwenye siasa za vyama kupitia hicho cheo chake. Asiwe na upande either CCM or Upinzani. Ahakikishe kuna maelewano kati ya wafanyabiashara na serikali.
 
Back
Top Bottom