Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Wanamuomba Uhuru Kenyatta aende mpakani akajionee hali inavyokuwa mbaya. Ama kweli Tanzania inawalisha, ndio wakome sasa kukurupuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa Wakenya ndio njia pekee ya kuwatia akili. Na bado huu ni mwanzo tu, tutaheshimiana.Nimependa mbinu iliyotumika Tz imeweka makubaliano na nchi zingine kdiplomasia alafu anadili na Kenya kibandidu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa mbinu iliyotumika Tz imeweka makubaliano na nchi zingine kdiplomasia alafu anadili na Kenya kibandidu.
Kenya ni nyoka!Nimependa mbinu iliyotumika Tz imeweka makubaliano na nchi zingine kdiplomasia alafu anadili na Kenya kibandidu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna uwezo hao ni wafanyibiashara waliokua wameorder na kulipia ila mizigo yao imekwama mpakana unexpectedly ni obvious watalalamika ila next team watatafuta alternatives...give it time tuone nani atalia
Mzee unaota!!! Mpaka umefungwa!!!Hamna uwezo hao ni wafanyibiashara waliokua wameorder na kulipia ila mizigo yao imekwama mpakana unexpectedly ni obvious watalalamika ila next team watatafuta alternatives...give it time tuone nani atalia
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha hizi vitu kama huezi prove hapa kwa takwimu nenda ukawahadithie wanawake wa kijijiniKenya wanatutegemea sana hata produces wanazosafirisha abroad mostly zinatoka tanzania hata cereals nyingi nì Tanzania hio jeuri ya kenyata ili awe praised na international communities itamtokea puani
Na huyu jamaa angekuwa walau na term moja ahead wangemuweka pembeni.
Kama mpaka umefungwa si watatafuta alternatives, alternatives ni nyingi sanaMzee unaota!!! Mpaka umefungwa!!!
MY TAKE
Ushauri wangu watakapokuja kuomba chakula JPM ahakikishe chakula kinatolewa Mpanda na kusafirishwa kwa treni (the just rehabilitated MGR) mpaka Mwanza halafu ferry wagons (MV Umoja) mpaka Kisumu then watajijua from there onwards kama kwa kutumia their MGR au la? Halafu mbele waweke bango Food relief program with love from People of Tanzania!
Sababu vitu ni cheap na haviwatoshelezi huko!!! Si tupo,ngoja tuone!!Kama mpaka umefungwa si watatafuta alternatives, alternatives ni nyingi sana
Kwanza itakua a blessing in disguise kwa wakulima wakenya kwa kua hao wafanyibiashara watalazimika kununua kwao..wamekua wakikimbilia Tanzania na uganda kwa kuwa vitu ni cheap huko
Sent using Jamii Forums mobile app
we need to show the value of work! its those farmers they always call them lazy! they need to see their hardwork is appreciated including TRC that r busy right now to repair the track!
Kenya mtakosaHamna uwezo hao ni wafanyibiashara waliokua wameorder na kulipia ila mizigo yao imekwama mpakana unexpectedly ni obvious watalalamika ila next team watatafuta alternatives...give it time tuone nani atalia
Sent using Jamii Forums mobile app