Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wishful thinking. You don't have guts to do that.MY TAKE
Ushauri wangu watakapokuja kuomba chakula JPM ahakikishe chakula kinatolewa Mpanda na kusafirishwa kwa treni (the just rehabilitated MGR) mpaka Mwanza halafu ferry wagons (MV Umoja) mpaka Kisumu then watajijua from there onwards kama kwa kutumia their MGR au la? Halafu mbele waweke bango Food relief program with love from People of Tanzania!
Hamna uwezo. Mkiskia the name Kenya Kinjeketile Ngwale coils his tail behind the legs. Kama mko na uwezo mbona Kiparangoto asiamue to na atangaze Kua amefunga border.
Hahahaha, Mara zote ambapo Kenya na Tanzania zimetanuliana msuli, Kenya ndio umeshindwa na kuomba msamaha.Hamna uwezo. Mkiskia the name Kenya Kinjeketile Ngwale coils his tail behind the legs. Kama mko na uwezo mbona Kiparangoto asiamue to na atangaze Kua amefunga border.
Ashasema RC..,hampenyi wanga ninyi.Hamna uwezo. Mkiskia the name Kenya Kinjeketile Ngwale coils his tail behind the legs. Kama mko na uwezo mbona Kiparangoto asiamue to na atangaze Kua amefunga border.
I can remember very well it was Tanzania that asked for forgiveness.Hahahaha, Mara zote ambapo Kenya na Tanzania zimetanuliana msuli, Kenya ndio umeshindwa na kuomba msamaha.
1) Unakumbuka sakata la Kenya kuzuia Gari za Utalii kufika JKIA na Tanzania kuamua kupunguza safari za ndege za KQ?, yupi aliomba msamaha?.
2)Unakumbuka Kenya ilipozuia gasi ya kupikia na ngano toka Tanzania, na Tanzania kuzuia maziwa na Sigara toka Kenya na kuzuia chakula cha Tanzania kuja Kenya?, nani aliomba msamaha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, find out first before you post your comments.I can remember very well it was Tanzania that asked for forgiveness.
USA inapoiwekea vikwazo vya biashara Iran, kwani huwa hizo bidhaa Iran inapewa bure?Sielewi vitunguu na matunda mnawapa msaada Kenya?
Blueband [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kenya mtakosa
1)Mahindi
2)Michele
3)Legumes
4)Onions
5)Fruits
6)Cotton
7)Paper
8)Timber
9)Fertilizers
10)Cattle
11)Transformers(Electric)
12)Cooking gas
13)Wheat
Tanzania tutakosa bidhaa gani muhimu toka Kenya?, Tafadhali zihorodheshe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanamuomba Uhuru Kenyatta aende mpakani akajionee hali inavyokuwa mbaya. Ama kweli Tanzania inawalisha, ndio wakome sasa kukurupuka.
Umefanya mpango upi kuhakikisha wakulima wa vitunguu na matunda hawapati hasara ya kuazo mazoa yao kutokana na kukosa soko. Je unayo mapango wa kufidia hasara? Kusema na kutenda vitu viwili tofauti.USA inapoiwekea vikwazo vya biashara Iran, kwani huwa hizo bidhaa Iran inapewa bure?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunawauzia in very cheap price... ambayo ni Kama msaada tuu tunawapaSielewi vitunguu na matunda mnawapa msaada Kenya?
Kukosa soko? Kumbuka tuko mil 60 tunauziana wenyewe vzur tu au mnadhani matunda ya tanga Lindi hayaendi...Umefanya mpango upi kuhakikisha wakulima wa vitunguu na matunda hawapati hasara ya kuazo mazoa yao kutokana na kukosa soko. Je unayo mapango wa kufidia hasara? Kusema na kutenda vitu viwili tofauti.
Ushauri wa bure . Nunua mazao kwa bei mbaya kumlinda mkulima. Truth is uwezo huna ni kelele tu na kujipiga kifua.Tunawauzia in very cheap price... ambayo ni Kama msaada tuu tunawapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kelele tu. Historia ya mkulima mtanzania kuharibikiwa na mazao kwa kukosa soko is well documented. Msiwavuruge wakulima.Kukosa soko? Kumbuka tuko mil 60 tunauziana wenyewe vzur tu au mnadhani matunda ya tanga Lindi hayaendi...
Uzur tz kilimo kimetofautiana maeneo na maeneo, tanga inasambaza matunda wakati mikoa ya kusini inasambaza mahindi viazi kwa mikoa mingi tu humu humu ndani
Sent using Jamii Forums mobile app