Wafanyabiashara wa Kenya waanza kulia

Wafanyabiashara wa Kenya waanza kulia

Kenya mtakosa
1)Mahindi
2)Michele
3)Legumes
4)Onions
5)Fruits
6)Cotton
7)Paper
8)Timber
9)Fertilizers
10)Cattle
11)Transformers(Electric)
12)Cooking gas
13)Wheat

Tanzania tutakosa bidhaa gani muhimu toka Kenya?, Tafadhali zihorodheshe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya produces all these things you listed ...we only import to subsidize shortfall.
 
MY TAKE
Ushauri wangu watakapokuja kuomba chakula JPM ahakikishe chakula kinatolewa Mpanda na kusafirishwa kwa treni (the just rehabilitated MGR) mpaka Mwanza halafu ferry wagons (MV Umoja) mpaka Kisumu then watajijua from there onwards kama kwa kutumia their MGR au la? Halafu mbele waweke bango Food relief program with love from People of Tanzania!
Kama lini kenya ishawai iomba tz chakula??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya produces all these things you listed ...we only import to subsidize shortfall.
ni bidhaa gani muhimu tukiikosa kutoka kwenu maisha yatasimama[emoji28][emoji28].

yaani hapa ndio mtajua tanzania sio tu ni kubwa kwa eneo bali hata wananchi na viongozi wana akili kubwa,siku zote tumewaweka katika zone ambayo haina umuhimu.

mnajisifu mna viwanda vya blueband na kiwi za viatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
I have asked, which goods does Kenya export to Tanzania?, list them please ( Essential goods, not like Cigarettes, Chocolates, Panadol, Beer)

Sent using Jamii Forums mobile app
We export many essential products to Tanzania ( make Google your friend )not unless you want to mean you will start importing from Zambia,Uganda or DRC.which I doubt will happen since they are less industrialised thus don't produce some products.
 
ni bidhaa gani muhimu tukiikosa kutoka kwenu maisha yatasimama[emoji28][emoji28].

yaani hapa ndio mtajua tanzania sio tu ni kubwa kwa eneo bali hata wananchi na viongozi wana akili kubwa,siku zote tumewaweka katika zone ambayo haina umuhimu.

mnajisifu mna viwanda vya blueband na kiwi za viatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maisha hayata simama lakini Bei ya bidhaa kadhaa itapanda maana kutakuwa na shortfall .
 
We export many essential products to Tanzania ( make Google your friend )not unless you want to mean you will start importing from Zambia,Uganda or DRC.which I doubt will happen since they are less industrialised thus don't produce some products.
Unless you mention at least 3 essential goods Kenya exports to Tanzania, which I am sure there is none.

Only manufactured goods from Kenya that are in good numbers are
1)Exide batteries
2)Flagyl % anti pains medicines
3)Kiwi
4)Colgate
5)Milk and its products

There is no single essential products from Kenya.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni bidhaa gani muhimu tukiikosa kutoka kwenu maisha yatasimama[emoji28][emoji28].

yaani hapa ndio mtajua tanzania sio tu ni kubwa kwa eneo bali hata wananchi na viongozi wana akili kubwa,siku zote tumewaweka katika zone ambayo haina umuhimu.

mnajisifu mna viwanda vya blueband na kiwi za viatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heri kuexport kiwi na blue band ambazo ni manufactured goods kuliko kuexport raw goods kama mahindi na vitunguu...mtu yeyote mwenye akili timamu anajua hivo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unless you mention at least 3 essential goods Kenya exports to Tanzania, which I am sure there is none.

Only manufactured goods from Kenya that are in good numbers are
1)Exide batteries
2)Flagyl % anti pains medicines
3)Kiwi
4)Colgate
5)Milk and its products

There is no single essential products from Kenya.




Sent using Jamii Forums mobile app
So according to you which one is better?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha mno namna majirani wanavyoishi, ilipaswa Kenya kumuheshimu jirani yake.
 
Unless you mention at least 3 essential goods Kenya exports to Tanzania, which I am sure there is none.

Only manufactured goods from Kenya that are in good numbers are
1)Exide batteries
2)Flagyl % anti pains medicines
3)Kiwi
4)Colgate
5)Milk and its products

There is no single essential products from Kenya.




Sent using Jamii Forums mobile app
sisi tuna AZAM Milk kuna ASAS milk na wengine kibao hizo Exide batteries wengi tunatumia za kutoka German zinaitwa BOSCH the best batteries flagyl kuna kiwanda mwenge pale cha madawa kikubwa tu colgate tutatumia white dent which is much cheaper compared to colgate
 
Heri kuexport kiwi na blue band ambazo ni manufactured goods kuliko kuexport raw goods kama mahindi na vitunguu...mtu yeyote mwenye akili timamu anajua hivo

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa kama una akili usingewaza tanzania kuumia zaidi katika hili,au mwenye akili timamu hajui hili[emoji16][emoji16].

sisi tunawaangalia mlivyo weupe kichwani.
 
Maisha hayata simama lakini Bei ya bidhaa kadhaa itapanda maana kutakuwa na shortfall .
hivi kati ya dawa ya meno na unga,kipi kikipanda bei kina madhara na hakivumiliki??

angalia tena kwa mfano huo nani anaingiza bidhaa muhimu kwa mwenzie.
 
Back
Top Bottom