Uchaguzi 2020 Wafanyabiashara wa Mwanza wanaotokea Tarime Vijijini wamkataa Waitara

Uchaguzi 2020 Wafanyabiashara wa Mwanza wanaotokea Tarime Vijijini wamkataa Waitara

nokwenumuya

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2019
Posts
820
Reaction score
2,896
Wafanyabiashara wa Mwanza wanaotokea Tarime Vijijini wamkataa Waitara.

Jana Tarehe 16/2/2020 Jijini Mwanza- Waitara amefanya kikao cha kampeni na wafanyabiashara wa Bwierege walioko Mwanza ili kuomba huruma yao mda huu ambao hata wapambe wake wa karibu wanonyesha dalili ya kumumwaga.

Wafanyabiashara wengi hawakuhudhuria wakitoa udhuru mbalimbali, lakini nia kubwa ilikuwa kumukwepa kwani wanadai ni mtu mfa maji na anatapatapa.

Wanaida iliwahi kuwatukana na kuwadhalilish vibaya kipindi cha nyuma akiwa Chadema wao wakimuunga mkono Nyangwine.

"Asitutishe na uwazari wake kwanza hautusaidii chochote ikiwemo jamii yetu" akafie mbali wamesema. " Kwanza anatugawa na kutubagua kikoo...kwa nini atuite wa Bwirege tu awaache wengine na ingali sote wote ni Wakurya? Wamehoji.

Baadhi ya wafanyabiashara wamelaani kitendo cha Waitara kuwaita wakidhani anaenda kuzungumzia Maendeleo kumbe anafanya kampeni.

" Ametukera sana..sisi tulitaka kusikia mambo ya Maendeleo yeye analeta upupu na siasa" Wenzetu walilitambua wakamkwepa" siku nyingine asijaribu kutuharibia mda wetu"

"Arudi Ukonga Sisi hatuhitaji Mbunge wa begi" Wamemalizia.
 
Hapo ndiyo nawapendea watu wa Tarime. WANA MSIMAMO na wana Umoja. Hawataki rushwa ya aina yoyote. Wakikukubali hata uwe Chama gani Ubunge utaupata tu.
 
Hapo ndiyo nawapendea watu wa Tarime. WANA MSIMAMO na wana Umoja. Hawataki rushwa ya aina yeyote. Wakikukubali hata uwe Chama gani Ubunge utaupata tu.
Hivi sifa za hivi halafu jimbo lenyewe maendeleo ndo hayo zinasaidia nn?
 
Wafanyabiashara wa Mwanza wanaotokea Tarime Vijijini wamkataa Waitara.

Jana Tarehe 16/2/2020 Jijini Mwanza- Waitara amefanya kikao cha kampeni na wafanyabiashara wa Bwierege walioko Mwanza ili kuomba huruma yao mda huu ambao hata wapambe wake wa karibu wanonyesha dalili ya kumumwaga.

Wafanyabiashara wengi hawakuhudhuria wakitoa udhuru mbalimbali, lakini nia kubwa ilikuwa kumukwepa kwani wanadai ni mtu mfa maji na anatapatapa.

Wanaida iliwahi kuwatukana na kuwadhalilish vibaya kipindi cha nyuma akiwa Chadema wao wakimuunga mkono Nyangwine.

"Asitutishe na uwazari wake kwanza hautusaidii chochote ikiwemo jamii yetu" akafie mbali wamesema. " Kwanza anatugawa na kutubagua kikoo...kwa nini atuite wa Bwirege tu awaache wengine na ingali sote wote ni Wakurya? Wamehoji.

Baadhi ya wafanyabiashara wamelaani kitendo cha Waitara kuwaita wakidhani anaenda kuzungumzia Maendeleo kumbe anafanya kampeni.

" Ametukera sana..sisi tulitaka kusikia mambo ya Maendeleo yeye analeta upupu na siasa" Wenzetu walilitambua wakamkwepa" siku nyingine asijaribu kutuharibia mda wetu"

"Arudi Ukonga Sisi hatuhitaji Mbunge wa begi" Wamemalizia.
Kama msigwa vile heche anapita fyaaaa
 
Mbunge wa Tarime Vijijini ni Heche mpende msipende.
 
Wafanyabiashara wa Mwanza wanaotokea Tarime Vijijini wamkataa Waitara.

Jana Tarehe 16/2/2020 Jijini Mwanza- Waitara amefanya kikao cha kampeni na wafanyabiashara wa Bwierege walioko Mwanza ili kuomba huruma yao mda huu ambao hata wapambe wake wa karibu wanonyesha dalili ya kumumwaga.

Wafanyabiashara wengi hawakuhudhuria wakitoa udhuru mbalimbali, lakini nia kubwa ilikuwa kumukwepa kwani wanadai ni mtu mfa maji na anatapatapa.

Wanaida iliwahi kuwatukana na kuwadhalilish vibaya kipindi cha nyuma akiwa Chadema wao wakimuunga mkono Nyangwine.

"Asitutishe na uwazari wake kwanza hautusaidii chochote ikiwemo jamii yetu" akafie mbali wamesema. " Kwanza anatugawa na kutubagua kikoo...kwa nini atuite wa Bwirege tu awaache wengine na ingali sote wote ni Wakurya? Wamehoji.

Baadhi ya wafanyabiashara wamelaani kitendo cha Waitara kuwaita wakidhani anaenda kuzungumzia Maendeleo kumbe anafanya kampeni.

" Ametukera sana..sisi tulitaka kusikia mambo ya Maendeleo yeye analeta upupu na siasa" Wenzetu walilitambua wakamkwepa" siku nyingine asijaribu kutuharibia mda wetu"

"Arudi Ukonga Sisi hatuhitaji Mbunge wa begi" Wamemalizia.
Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
 
Back
Top Bottom