Uchaguzi 2020 Wafanyabiashara wa Mwanza wanaotokea Tarime Vijijini wamkataa Waitara

Uchaguzi 2020 Wafanyabiashara wa Mwanza wanaotokea Tarime Vijijini wamkataa Waitara

Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
Hatar sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
Huu ni uongo
 
Huu ni uongo
Ukweli unatabia kuchelewa lakini siku ikifika haufichiki kama kikohozi. Watakapofika kwenye Mahakama ndipo watatajana na utajuwa uhusika wa Mwitta Waitara kwenye tukio la Lissu kushambuliwa
 
Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.

Mayo bagosha Nene!
 
Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
Duh hii allegation nzito sana.

Hatari sana maana huyu ni Yuda Iskariote kasoro hajatupa chini bipande vya fedha na kwenda kujitundika!!
 
Sasa ndio nini? Si wanaishi na kufanya biashara zao Mwanza? Wamkatae tu, na yeye hana shida nao! Wafanye biashara zao Mwanza na nje ya maduka yao waandike, tunamkataa Waitara, basi, inatosha. Watu wanaoishi Tarime wenyewe wanajua wanalolifanya.
 
Sasa ndio nini? Si wanaishi na kufanya biashara zao Mwanza? Wamkatae tu, na yeye hana shida nao! Wafanye biashara zao Mwanza na nje ya maduka yao waandike, tunamkataa Waitara, basi, inatosha. Watu wanaoishi Tarime wenyewe wanajua wanalolifanya.
sasa hujui kwa nini aliwafuata?
 
Hapo ndiyo nawapendea watu wa Tarime. WANA MSIMAMO na wana Umoja. Hawataki rushwa ya aina yoyote. Wakikukubali hata uwe Chama gani Ubunge utaupata tu.
Dah...Kuna tofauti ndogo sana kati ya msimamo na ujinga....wengi huwa wanajichanganya..[emoji2960]

Sent using Beretta ARX 160
 
Write your reply...Nimetonywa kuwa kuna mipira ya soka imepita kila kijiji sijui ni nani huyo kaleta.
 
Wafanyabiashara wa Mwanza wanaotokea Tarime Vijijini wamkataa Waitara.

Jana Tarehe 16/2/2020 Jijini Mwanza- Waitara amefanya kikao cha kampeni na wafanyabiashara wa Bwierege walioko Mwanza ili kuomba huruma yao mda huu ambao hata wapambe wake wa karibu wanonyesha dalili ya kumumwaga.

Wafanyabiashara wengi hawakuhudhuria wakitoa udhuru mbalimbali, lakini nia kubwa ilikuwa kumukwepa kwani wanadai ni mtu mfa maji na anatapatapa.

Wanaida iliwahi kuwatukana na kuwadhalilish vibaya kipindi cha nyuma akiwa Chadema wao wakimuunga mkono Nyangwine.

"Asitutishe na uwazari wake kwanza hautusaidii chochote ikiwemo jamii yetu" akafie mbali wamesema. " Kwanza anatugawa na kutubagua kikoo...kwa nini atuite wa Bwirege tu awaache wengine na ingali sote wote ni Wakurya? Wamehoji.

Baadhi ya wafanyabiashara wamelaani kitendo cha Waitara kuwaita wakidhani anaenda kuzungumzia Maendeleo kumbe anafanya kampeni.

" Ametukera sana..sisi tulitaka kusikia mambo ya Maendeleo yeye analeta upupu na siasa" Wenzetu walilitambua wakamkwepa" siku nyingine asijaribu kutuharibia mda wetu"

"Arudi Ukonga Sisi hatuhitaji Mbunge wa begi" Wamemalizia.
Elimu ni mkombozi.
Itafika muda hata wa kumdanganya hatakuwepo.
Huyu ni mkurya mpumbavu binafsi ananichefua sana tena sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom