aiseeMwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
Bwashee leo umeamka kivingine, umetoa ushauri wa bure kwa huyo Manka kiruka njia.Ni kweli lakini chapombe Mwita Waitara siyo mbadala wa Heche!
Afadhali hata wewe wa viti maalumu!
Kwani Waitara ni wa viti maalum?Ni kweli lakini chapombe Mwita Waitara siyo mbadala wa Heche!
Afadhali hata wewe wa viti maalumu!
Hatar sana!Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
Huu ni uongoMwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
Ukweli unatabia kuchelewa lakini siku ikifika haufichiki kama kikohozi. Watakapofika kwenye Mahakama ndipo watatajana na utajuwa uhusika wa Mwitta Waitara kwenye tukio la Lissu kushambuliwaHuu ni uongo
Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
UkongaKwani Ukonga siyo jimbo?
Duh hii allegation nzito sana.Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
Wewe ni mgeni?!Kwani Waitara ni wa viti maalum?
sasa hujui kwa nini aliwafuata?Sasa ndio nini? Si wanaishi na kufanya biashara zao Mwanza? Wamkatae tu, na yeye hana shida nao! Wafanye biashara zao Mwanza na nje ya maduka yao waandike, tunamkataa Waitara, basi, inatosha. Watu wanaoishi Tarime wenyewe wanajua wanalolifanya.
WakudadavuliwaHeche must go....
Dah...Kuna tofauti ndogo sana kati ya msimamo na ujinga....wengi huwa wanajichanganya..[emoji2960]Hapo ndiyo nawapendea watu wa Tarime. WANA MSIMAMO na wana Umoja. Hawataki rushwa ya aina yoyote. Wakikukubali hata uwe Chama gani Ubunge utaupata tu.
Elimu ni mkombozi.Wafanyabiashara wa Mwanza wanaotokea Tarime Vijijini wamkataa Waitara.
Jana Tarehe 16/2/2020 Jijini Mwanza- Waitara amefanya kikao cha kampeni na wafanyabiashara wa Bwierege walioko Mwanza ili kuomba huruma yao mda huu ambao hata wapambe wake wa karibu wanonyesha dalili ya kumumwaga.
Wafanyabiashara wengi hawakuhudhuria wakitoa udhuru mbalimbali, lakini nia kubwa ilikuwa kumukwepa kwani wanadai ni mtu mfa maji na anatapatapa.
Wanaida iliwahi kuwatukana na kuwadhalilish vibaya kipindi cha nyuma akiwa Chadema wao wakimuunga mkono Nyangwine.
"Asitutishe na uwazari wake kwanza hautusaidii chochote ikiwemo jamii yetu" akafie mbali wamesema. " Kwanza anatugawa na kutubagua kikoo...kwa nini atuite wa Bwirege tu awaache wengine na ingali sote wote ni Wakurya? Wamehoji.
Baadhi ya wafanyabiashara wamelaani kitendo cha Waitara kuwaita wakidhani anaenda kuzungumzia Maendeleo kumbe anafanya kampeni.
" Ametukera sana..sisi tulitaka kusikia mambo ya Maendeleo yeye analeta upupu na siasa" Wenzetu walilitambua wakamkwepa" siku nyingine asijaribu kutuharibia mda wetu"
"Arudi Ukonga Sisi hatuhitaji Mbunge wa begi" Wamemalizia.