Uchaguzi 2020 Wafanyabiashara wa Mwanza wanaotokea Tarime Vijijini wamkataa Waitara

last week alhamisi amenipita na gari akitokea njia ya Daraja la Kigamboni akiwa speed kama mlevi kabisa na gari la NW-OR TAMISEMI nikasema huyu mlevi ataanguka na hii gari sijui anawahi gongo ama?
Kwani alikuwa anaendesha mwenyewe gari la serikali? Pumbavu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…