Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatoa Dubai huko, huko simu zinauzwa kama pipi tu zipo za kila bei na kadri unavyochukua mzigo mkubwa na bei inapungua (discount per each item)...Naomba kufahamishwa kuhusu uuzaji wa simu. Je simu za jumla natoa wapi? Nina mpango wa kuanzisha duka la simu.
Inategemeana, unataka used or new? Kama ni new agiza kutoka China. Kama ni used agiza Dubai. Kingine unataka brand gani?Naomba kufahamishwa kuhusu uuzaji wa simu. Je simu za jumla natoa wapi? Nina mpango wa kuanzisha duka la simu.
Kwa hapa bongo Hamna chimboInategemeana, unataka used or new? Kama ni new agiza kutoka China. Kama ni used agiza Dubai. Kingine unataka brand gani?
Kariakoo ndio sehemu sahihi.Kwa hapa bongo Hamna chimbo
Simu mpya uagize China? Simu gani? Pengine hizi za kichina?Inategemeana, unataka used or new? Kama ni new agiza kutoka China. Kama ni used agiza Dubai. Kingine unataka brand gani?
Ni kweli. Ila bidhaa haziuzwi kutokea viwandani China. kampuni kubwa zote zina channels za usambazaji. Usije ukalogwa uende China ukidhani utakuta Iphone bei rahisi kwa sababu kiwanda kipo pale.Mkuu viwanda vingi vya kuassemble hizo simu viko China wakiongozwa na Apple products
Machimbo ya China nayajuaje mkuu?Inategemeana, unataka used or new? Kama ni new agiza kutoka China. Kama ni used agiza Dubai. Kingine unataka brand gani?
Inapata Guangzhou peke yake ama kuna sehemu nyingine?Mkuu viwanda vingi vya kuassemble hizo simu viko China wakiongozwa na Apple products
Umejibu vema, yeye badala ya kujifunza kwa wengine anajifanya mjuaji.Mkuu viwanda vingi vya kuassemble hizo simu viko China wakiongozwa na Apple products
Be open minded. False knowledge is more dangerous than ignorance.Simu mpya uagize China? Simu gani? Pengine hizi za kichina?
Dubai kwa kutumia app gani?dubai ndio soko kuu,huko ndiko nyumani kwa simu refubrished.
unakwenda zako na mtaji unajibebea simu za kutosha,kazi inabaki moja tu kuroga(serious joke[emoji16])
Kuna app kama alibaba? NaiombaWanatoa Dubai huko, huko simu zinauzwa kama pipi tu zipo za kila bei na kadri unavyochukua mzigo mkubwa na bei inapungua (discount per each item)...
Inategemea, kama una mtaji mkubwa basi unaweza kuagiza mzigo wako kutokea Dubai na China ukaweka stock ukaanza kuuza.Naomba kufahamishwa kuhusu uuzaji wa simu. Je simu za jumla natoa wapi? Nina mpango wa kuanzisha duka la simu.
Mtaji kama kiasi gani inatosha kwenye biashara ya simu refurbished toka DubaiInategemea, kama una mtaji mkubwa basi unaweza kuagiza mzigo wako kutokea Dubai na China ukaweka stock ukaanza kuuza.
Ila watu wengi wenye maduka ya simu hawana mitaji mikubwa, So wanachofanya wanaweka tu simu chache kwenye display kwenye duka au wanaweka mabox ya simu mengi kama unavyoona maduka ya makumbusho. Then akija mteja akataka simu basi wanaenda kuchukua kwa watu wa Jumla ambao wana stock, Watu hawa wenye stock wapo wachache na wanafahamika..
Tunaweza wafahamu vipi mkuu?Inategemea, kama una mtaji mkubwa basi unaweza kuagiza mzigo wako kutokea Dubai na China ukaweka stock ukaanza kuuza.
Ila watu wengi wenye maduka ya simu hawana mitaji mikubwa, So wanachofanya wanaweka tu simu chache kwenye display kwenye duka au wanaweka mabox ya simu mengi kama unavyoona maduka ya makumbusho. Then akija mteja akataka simu basi wanaenda kuchukua kwa watu wa Jumla ambao wana stock, Watu hawa wenye stock wapo wachache na wanafahamika..