Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Leo 25 june kuna mgomo mkubwa wa wafanyabiashara ,maduka yafungwa,oneway,mahengo mitaa haina watu kabisa hali tete wananchi wanahaha ,ccm imechoka kwa kweli
Kila la heri huko Dodoma. Ngoja tuone.
Acha ujinga bas uvccmSaa 3 asubuhi kwani Dodoma maduka makubwa si bado muda wa kufungua..!!
Hata nikijua maana yake hayo maduka mtaji niliwapa mimi? Mtu kakaa na halmashauri ya kichwa chake au na mkewe wameona wafunge duka.Kila la kheri unajua maana yake?
Hapa atabaki vunja bei tuLeo 25 june kuna mgomo mkubwa wa wafanyabiashara ,maduka yafungwa,oneway,mahengo mitaa haina watu kabisa hali tete wananchi wanahaha ,ccm imechoka kwa kweli
Huyu mpuuz kafungua kweliHapa atabaki vunja bei tu
πππAcha uongo, hayo ni maduka mapya yanaelekea kukamilika kujengwa, hayajawahi kupangishwa
Mkewe boss wa akina Lucas ππHuyu mpuuz kafungua kweli
Mpuuz ww hicho kichwa ni kabati la menoAcha uongo, hayo ni maduka mapya yanaelekea kukamilika kujengwa, hayajawahi kupangishwa
Kataa uchawaDodoma huwa wanachelewa kufungua maduka ... usilete taharaki kwa wakazi wa dodoma. Tanzania ipo salama chini ya Mama ... MITANO TENA KWA MAMA
Mama kumi Tenaπ€£π€£π€£Mpuuz ww hicho kichwa ni kabati la meno
Hapo ni oneway waambie uvccm wenzako nchi imewashindaDodoma huwa wanachelewa kufungua maduka ... usilete taharaki kwa wakazi wa dodoma. Tanzania ipo salama chini ya Mama ... MITANO TENA KWA MAMA