nalamba yote
Member
- Nov 21, 2017
- 56
- 53
Wakuu habari za Leo,Mimi sio mgeni sana hapa Jf Ila acc yangu ya mwanzo nimeshindwa kuitumia Kwa ss,..
Naomba kujua uzoefu Wa wafanyabiashara Wa Mpya za dukani hasa wale Wa Arusha na maeneo ya jirani wanaokwenda Nairobi Kenya kufuata nguo kwenye maduka ya jumla ni wapi maduka hayo yanapopatikana?....
Nataka kuanza hii biashara na fremu nimeshapata Ila naona nikinulia Nairobi itakuwa nafuu zaidi,tatizo sipajui wanapouza hizo nguo kwa bei nzuri huko Kenya na kila mfanyabiashara niliyemuuliza anasema lete hela nikienda nikuletee mzigo.
Najua Jf ni shina LA habari na wapo wazoefu Wa hizi mambo,...nisaidieni tafadhali.
Mtaji wangu ni milioni 7,nataka ninunue mzigo Wa milioni tano ili hizo 2 zinisaidie kwenye kodi ya TRA pale namanga.km kodi itazidi kidogo hapo kwenye milioni 2 sio mbaya nitapata ya kuongeza ziwe 3.
Naomba kujua uzoefu Wa wafanyabiashara Wa Mpya za dukani hasa wale Wa Arusha na maeneo ya jirani wanaokwenda Nairobi Kenya kufuata nguo kwenye maduka ya jumla ni wapi maduka hayo yanapopatikana?....
Nataka kuanza hii biashara na fremu nimeshapata Ila naona nikinulia Nairobi itakuwa nafuu zaidi,tatizo sipajui wanapouza hizo nguo kwa bei nzuri huko Kenya na kila mfanyabiashara niliyemuuliza anasema lete hela nikienda nikuletee mzigo.
Najua Jf ni shina LA habari na wapo wazoefu Wa hizi mambo,...nisaidieni tafadhali.
Mtaji wangu ni milioni 7,nataka ninunue mzigo Wa milioni tano ili hizo 2 zinisaidie kwenye kodi ya TRA pale namanga.km kodi itazidi kidogo hapo kwenye milioni 2 sio mbaya nitapata ya kuongeza ziwe 3.