Wafanyabiashara wanaochukua nguo Nairobi

Dah aisee!!!!,msaada mwingine huo,mkuu nashukuru sana,nataraji kwenda mwez ujao nikachukue mzigo Kwa ajili ya msimu Wa sikukuu.nashukuru sana
 
Juzi Azam tv nimeona Tanzania wamechoma majani ya chai yaliyo toka nchini kenya.... Ujaribu kuwa makini mzingo wako usije ukataifishwa na mtaji wa biashara ukawa umeishia hapo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…