Shikamoo!
EASTLEIGH ni fremu za maduka kama Kariakoo....ukifika Nairobi CBD ulizia matatu za EASTLEIGH nauli haizid 30kshs ukifika zunguka ufanye shopping ukimaliZa rud River Rd. (CBD) tafuta ofisi ya SPIDER wakabidhi mzigo na kiasi cha pesa watakachokuambia kisha utakuja kupokea mzigo wako TZ kwenye ofis zao SPIDER