Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jan 12, 2021 #21 Tanzania ndivyo tulivyo, wanapanga mambo hawatoi taarifa, siku zikifika wanaanza kamata kamata... Baada ya hapo anatokea kiongozi mmoja, anajifanya kuongeza muda, ila billion za faini za dhuluma washalamba... Cc: mahondaw
Tanzania ndivyo tulivyo, wanapanga mambo hawatoi taarifa, siku zikifika wanaanza kamata kamata... Baada ya hapo anatokea kiongozi mmoja, anajifanya kuongeza muda, ila billion za faini za dhuluma washalamba... Cc: mahondaw
ThinkPad JF-Expert Member Joined Apr 11, 2008 Posts 1,844 Reaction score 235 Jan 13, 2021 #22 Mfumo wa zamani, Naamini hawajautumia asilimia japo 20, Wana Uleta Mpya wataweza kweli au ndio kufaidishana.
Mfumo wa zamani, Naamini hawajautumia asilimia japo 20, Wana Uleta Mpya wataweza kweli au ndio kufaidishana.
wa kupuliza JF-Expert Member Joined Jun 15, 2012 Posts 15,216 Reaction score 37,757 Feb 4, 2021 #23 Imeisha hio