Hata wakati ule zilikuwa nyingi pia tena kwenye shule hasa za jamii flani,
Na hata watoto walikufa na mali kuteketea
Na mpaka leo mie sijasikia matokeo ya tume za uchunguzi zaidi ya hitilafu za umeme,
Na hata saa hii majibu yatakuwa ni Hayo hayo so tuvumilie tu kwani ukichunguza kwa undani utagundua ni hitilafu za umeme kweli