Wafanyabiashara wengi ukiwaulizia bidhaa ambayo hana anakasirika

Ni utafiti gani umefanya mpaka ukaja na hii conclusion?
Anyway rudia Tena huo utafiti wako.
 
Sahihi kabisa, kuna siku nilikuwa ninataka kununua laptops 6 kwa haraka, muda ulikuwa umeenda saa 10 jioni, nikawatafuta laptop city, namba nilichukua mtandaoni, wakapokea simu ila nilivyokuwa ninataja specifications jamaa akaniambia tuma kwenye WhatsApp kwanza tunafunga sasa hivi, nikawatumia walikuja kunijibu kesho yake saa 8 mchana, hapo nimeshanunua sehemu nyingine.

Nilichogundua ni aina ya wafanyakazi ambao tunaajiri, mtu mwenye biashara yake asingeweza kufanya hivyo
 
Kitu kinaitwa customer service hapa kwetu Ni ndoto...sanasana wakishajua wateja wao Ni wengi Basi jeuri inazidi wanajibu wanavyotaka.
 

Dah ..inakuaje unamletea nyodo mteja? Hahhaa! ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…