Wafanyabiashara wenzangu kuna hitaji la "Mashine ya kukunia nazi" kwa mfanyabiashra mwenzetu kwa mahitaji ni mashine mbili.

mr mkiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
5,588
Reaction score
11,668
MASHINE YA KUKUNIA NAZI aina hii kwa mashine mbili.



Phone number; 0684306537.
 
Mkuu nyoosha maelezo ueleweke.
Wewe na mfanyabiashara mwenzako mnauza hizo mashine au mnataka kununua?
Wabongo ni wagumu kujieleza Sana. Yaani Jamaa Anampa msomaji kazi kubwa Sana kutafakari alitaka kusema nini... Nimesoma mara mbili mbili na mimi sijaelewa kama inauzwa au au Kuna mtu anaitaji sample hizo za machine
 
Mkuu nyoosha maelezo ueleweke.
Wewe na mfanyabiashara mwenzako mnauza hizo mashine au mnataka kununua?
Wabongo ni wagumu kujieleza Sana. Yaani Jamaa Anampa msomaji kazi kubwa Sana kutafakari alitaka kusema nini... Nimesoma mara mbili mbili na mimi sijaelewa kama inauzwa au au Kuna mtu anaitaji sample hizo za machine
nilidhani ni mimi ndio sielewi, jamaa nina uhakika hata yeye akisoma hawezi kuelewa alichotaka kumaanisha.
 
Halafu mkikosa wateja mnajidanganya mtu kawaloga kumbe mbajiroga wenyewe kwa kuwa na njia hii ya kutangaza bidhaaa.

Utangazaji huu utang!za na wezi wasio jua mbele wala nyuma ya walichoiba.. wakiwa hawana hata ka manuo
 
Mkuu nyoosha maelezo ueleweke.
Wewe na mfanyabiashara mwenzako mnauza hizo mashine au mnataka kununua?
Wabongo ni wagumu kujieleza Sana. Yaani Jamaa Anampa msomaji kazi kubwa Sana kutafakari alitaka kusema nini... Nimesoma mara mbili mbili na mimi sijaelewa kama inauzwa au au Kuna mtu anaitaji sample hizo za machine
nilidhani ni mimi ndio sielewi, jamaa nina uhakika hata yeye akisoma hawezi kuelewa alichotaka kumaanisha.
Mwenyewe cjamuelewa kabisaaa
Halafu mkikosa wateja mnajidanganya mtu kawaloga kumbe mbajiroga wenyewe kwa kuwa na njia hii ya kutangaza bidhaaa.

Utangazaji huu utang!za na wezi wasio jua mbele wala nyuma ya walichoiba.. wakiwa hawana hata ka manuo
Duh huyu darasa la saba hakumaliza huyu hata kumuelekeza mtu hajui sio kutangaza biashara
 
Wabongo ni wagumu kujieleza Sana. Yaani Jamaa Anampa msomaji kazi kubwa Sana kutafakari alitaka kusema nini... Nimesoma mara mbili mbili na mimi sijaelewa kama inauzwa au au Kuna mtu anaitaji sample hizo za machine
Yaani ni shida halaf unakuta mtu Kama huyo ni mtu mzima na ana watoto wanaenda shule je ataweza kuwarekebisha watoto wake wanapopata mabuyu shuleni?
 
Wabongo ni wagumu kujieleza Sana. Yaani Jamaa Anampa msomaji kazi kubwa Sana kutafakari alitaka kusema nini... Nimesoma mara mbili mbili na mimi sijaelewa kama inauzwa au au Kuna mtu anaitaji sample hizo za machine
Mkuu mbona mimi nimemuelewa kiurahisi sana,,,, huyu anaonekana ni mtu kutoka Zanzibar,,,, anasema KUNA UHITAJI yaani KUNAHITAJIKA,,, au ANATAFUTA
 
Mkuu mbona mimi nimemuelewa kiurahisi sana,,,, huyu anaonekana ni mtu kutoka Zanzibar,,,, anasema KUNA UHITAJI yaani KUNAHITAJIKA,,, au ANATAFUTA
Dah aisee inawezekana mkuu.
Ameandika lugha ya mafumbo Kama wanayoitumia kuongea kiswahili chao.
 
Mkuu nyoosha maelezo ueleweke.
Wewe na mfanyabiashara mwenzako mnauza hizo mashine au mnataka kununua?
Wabongo ni wagumu kujieleza Sana. Yaani Jamaa Anampa msomaji kazi kubwa Sana kutafakari alitaka kusema nini... Nimesoma mara mbili mbili na mimi sijaelewa kama inauzwa au au Kuna mtu anaitaji sample hizo za machine
nilidhani ni mimi ndio sielewi, jamaa nina uhakika hata yeye akisoma hawezi kuelewa alichotaka kumaanisha.
Mwenyewe cjamuelewa kabisaaa
Aina hii kwa mashine mbili,.Ndiyo nini?
Halafu mkikosa wateja mnajidanganya mtu kawaloga kumbe mbajiroga wenyewe kwa kuwa na njia hii ya kutangaza bidhaaa.

Utangazaji huu utang!za na wezi wasio jua mbele wala nyuma ya walichoiba.. wakiwa hawana hata ka manuo
Duh huyu darasa la saba hakumaliza huyu hata kumuelekeza mtu hajui sio kutangaza biashara
Wakuu, amemaanisha KUNAUHITAJI,,,AU KUNAHITAJIKA,,KUNATAKIKANA,,,KUNATAKIWA,,,

yaani kwakifupi amemaanisha kunamtu ANATAFUTA AINA HIZO ZA MASHINE,,

mdau anaonekana ni mtu kutoka Zanzibar
 
Wakuu, amemaanisha KUNAUHITAJI,,,AU KUNAHITAJIKA,,KUNATAKIKANA,,,KUNATAKIWA,,,
yaani kwakifupi amemaanisha kunamtu ANATAFUTA AINA HIZO ZA MASHINE,,
mdau anaonekana ni mtu kutoka Zanzibar
oooh kuna karakana ipo kinondoni wanatengeneza hizo
 
Mkuu nyoosha maelezo ueleweke.
Wewe na mfanyabiashara mwenzako mnauza hizo mashine au mnataka kununua?
Nimetumia kiswahili fasaha ndio tatizo, lakini naomba kusema tunaitaji machine aina nilizo ziweka hapo
 
Wakuu, amemaanisha KUNAUHITAJI,,,AU KUNAHITAJIKA,,KUNATAKIKANA,,,KUNATAKIWA,,,

yaani kwakifupi amemaanisha kunamtu ANATAFUTA AINA HIZO ZA MASHINE,,

mdau anaonekana ni mtu kutoka Zanzibar
Mkuu ni kiswahili fasaha kabisa,

Nashukuru naomba machine tupatee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…