Wafanyakazi 12 wa Azam Tv wapata ajali mlima Kitonga. Walikuwa wanaelekea jijini Mbeya kurusha matangazo ya NBC premier league

Wafanyakazi 12 wa Azam Tv wapata ajali mlima Kitonga. Walikuwa wanaelekea jijini Mbeya kurusha matangazo ya NBC premier league

Azam Media Limited (AML) inautaarifu umma kuwa wafanyakazi wake 12 waliokuwa wanakwenda mkoani Mbeya kwa ajili ya kazi ya kurusha matangazo ya mechi za Ligi Kuu ya NBC wamepata ajali baada ya gari lao kusukumwa na lori lililokuwa likirudi nyuma kwa dharula katika Mlima Kitonga.

Ajali hiyo imetokea mchana wa leo Jumapili, Februari 13, 2022.

Kwa msaada mkubwa wa ofisi ya mkuu wa Mkoa, kikosi cha Polisi Mkoa wa Iringa na Mganga mkuu wa Mkoa, majeruhi wamechukuliwa na matabibu wa Mkoa wa Iringa kwa matibabu.

Uongozi wa Azam Media Limited unawashukuru wote waliotoa msaada wa hali na mali na kuwaomba Watanzania wote kuwaombea majeruhi nafuu ya mapema.

Imetolewa na
Azam Media Limited
13, Februari 2022

View attachment 2118441
Hawa Watatu nilio na Historia nao Fatma Abdallah Chikawe, Mohammed Mohammed na Masoud Lihenye nao wapo / ni Wahanga wa hii Ajali?
 
Azam Media Limited (AML) inautaarifu umma kuwa wafanyakazi wake 12 waliokuwa wanakwenda mkoani Mbeya kwa ajili ya kazi ya kurusha matangazo ya mechi za Ligi Kuu ya NBC wamepata ajali baada ya gari lao kusukumwa na lori lililokuwa likirudi nyuma kwa dharula katika Mlima Kitonga.

Ajali hiyo imetokea mchana wa leo Jumapili, Februari 13, 2022.

Kwa msaada mkubwa wa ofisi ya mkuu wa Mkoa, kikosi cha Polisi Mkoa wa Iringa na Mganga mkuu wa Mkoa, majeruhi wamechukuliwa na matabibu wa Mkoa wa Iringa kwa matibabu.

Uongozi wa Azam Media Limited unawashukuru wote waliotoa msaada wa hali na mali na kuwaomba Watanzania wote kuwaombea majeruhi nafuu ya mapema.

Imetolewa na
Azam Media Limited
13, Februari 2022

View attachment 2118441
Mungu awaponye haraka

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Najua kiusalama sio nzuri sana kuruhusu watu wawe wana overtake wakati wa kupanda mlima kitonga ila pia sio salama kwa gari ndogo kulazimisha ikae nyuma ya lori. Imagine lori linaenda kwa speed kama 10kph na huruhusiwi kuliovertake. Unaona kabisa lori linaelekea kushindwa kupanda mlima ila ukiovertake tuu unakutana na askari unakula fine tena hata hawajiulizi kwanini umeovertake. Ajali kama hii ya hiace ya Azam kusukumwa na lori pale kitonga isingetokea kama dereva angeamua kulipita hili lori ambalo lilikua linarudi riverse na kuibada hii hiace.

View attachment 2118465
Huo mlima ni hatari sana huwa siyo salama kuwa nyuma ya maroli kwa umbali mfupi ni salama kuwa angalau mita 15
 
Hao jamaa ni mandezi sana wanavizia kwa juu maana wanajua kwamba lazima uovertake maana malori hayawezi panda mlima huo vizuri...
Ni point ya hiyo, huwa wanaweka kambi hapo muda wote. Uzuri ni kuwa Angalau huwa tuna uhakika Wa usalama wakiwepo hapo. Maana hata ajali ikitokea, inashughulikiwa haraka haraka.
 
Aiseee kipanya na watu 12 huu ni uzembe kabisa!
 
Back
Top Bottom