Wafanyakazi 200 vijana wastaafishwa kinyume cha sheria

Wafanyakazi 200 vijana wastaafishwa kinyume cha sheria

whitehorse

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2009
Posts
2,565
Reaction score
4,432
Habari huku wakubwa.

Kuna tetesi kuwa wafanyakazi wapatao 200 na zaidi wamestaafishwa kinyama bila huruma wangali wadogo na mchango wa taifa bado unawategemea.

Wamepewa taarifa ya maamuzi hayo tarehe 31/july/2014 na hadi kufika tarehe 8 wote walikuwa out. Waajiriwa wote hawa walikuwa kwenye ajira ya kudumu yaani permanent staff na vigezo vilivyotumika ni wale wenye kulipwa mishahara mikubwa na PIA kuwa covered na matibabu.

Sasa ndani ya tetesi hii wanasheria nyie huku ndani mnaona taratibu za redundancy kwa mujibu wa sheria za kazi za Tanzania umefuatwa? Au wahindi waadabishwe?

Maana nijuavyo Mimi notice hutolewa walau miezi mitatu kabla sasa hii wiki moja tu mtu hana ajira na hali hii kweli tutafika.

Naomba jukwaa hili litazame kwa jicho la kisheria na kutoa ushauri.
 
whitehorse 09:31 Today


Habari huku wakubwa. Kuna tetesi kuwa wafanyakazi wapatao 200 na zaidi wamestaafishwa kinyama bila huruma wangali wadogo na mchango WA taifa bado unawategemea. Wamepewa taarifa ya maamuzi hayo tarehe 31/july/2014 na hadi kufika tarehe 8 wote walikuwa out. Waajiriwa wote hawa walikuwa kwenye ajira ya kudumu yaani permanent staff na vigezo vilivyotumika Ni wale wenye kulipwa mishahara mikubwa na PIA kuwa covered na matibabu. Sasa ndani ya tetesi hii wanasheria nyie huku ndani mnaona taratibu za redundancy kwa mujibu WA sheria za kazi za Tanzania umefuatwa? Au wahindi waadabishwe? Maana nijuavyo Mimi notice hutolewa walau miezi mitatu kabla sasa hii wiki moja Tu mtu hana ajira na halo hii kweli tutafika. Naomba jukwaa hili litazame kwa jicho la kisheria na kutoa ushauri
 
whitehorse 09:31 Today


Habari huku wakubwa. Kuna tetesi kuwa wafanyakazi wapatao 200 na zaidi wamestaafishwa kinyama bila huruma wangali wadogo na mchango WA taifa bado unawategemea. Wamepewa taarifa ya maamuzi hayo tarehe 31/july/2014 na hadi kufika tarehe 8 wote walikuwa out. Waajiriwa wote hawa walikuwa kwenye ajira ya kudumu yaani permanent staff na vigezo vilivyotumika Ni wale wenye kulipwa mishahara mikubwa na PIA kuwa covered na matibabu. Sasa ndani ya tetesi hii wanasheria nyie huku ndani mnaona taratibu za redundancy kwa mujibu WA sheria za kazi za Tanzania umefuatwa? Au wahindi waadabishwe? Maana nijuavyo Mimi notice hutolewa walau miezi mitatu kabla sasa hii wiki moja Tu mtu hana ajira na halo hii kweli tutafika. Naomba jukwaa hili litazame kwa jicho la kisheria na kutoa ushauri

Habari haijitoshelezi, unaogopa nini? Sema ni waajiriwa wa wapi? Mikataba yao ilikuwaje?
 
Kampuni kani? hivi kwanini mnatupaga kaz ya kuanza kuuliza mambo kama haya, wap,kampuni gani,sababu zip? kusanya taharifa za kutosha hili tupate pa kuanzia.
 
nasubiri ujibu maswali uliyoulizzwa na wakuu hapo juu we mleta thread hii...! @@$%%% we!
 
Mbona hii habari imekaa kiudakuudaku? Kwahiyo jina la mwajili ni WAHINDI? Au WAHINDI ni jina la kampuni?
 
Malalamiko yote haya huelezi ni wa taasisi ipi? Serikalini-wapi? lini? na sababu yake ni nini? Au ni kwa muhindi? yupi? Bila majibu ya maswali haya ushauri utakuwa mgumu
 
Ahhahaa nimeshambuliwa hadi basi mnisamehe Sana I was driving. Ni kampuni ya ISON BPO. Inaendesha call centre ya airtel,Airtel waliout source kitengo cha huduma kwa wateja wakahamishia ajira na benefits zote kwa hiyo ISON miaka mitatu iliyopita na waliofukuzwa Ni wale wenye
 
Ahhahaa nimeshambuliwa hadi basi mnisamehe Sana I was driving. Ni kampuni ya ISON BPO. Inaendesha call centre ya airtel,Airtel waliout source kitengo cha huduma kwa wateja wakahamishia ajira na benefits zote kwa hiyo ISON miaka mitatu iliyopita na waliostaafishwa kinyama Ni wale wenye permanent contract wote. Poleni kwa usumbufu na ofisi za kampuni hii ya ISON zipo quality centre na wamiliki Ni wahindi flan wajanjawajanja. Nisameheni Sana ILA haki inatafutwa na vijana hawa waliotimuliwa Hilo ndio la msingi kabisa.
 
duh...waende mahakani km wana nakala za barua za ajira zao...watapata haki zao
 
Majibu ya wanasheria wetu bwana Supernova that's all you can shauri bila hata few guidelines au nawewe mburura kama mimi
 
Last edited by a moderator:
Watanzania tuna hali yakuto jiamini na uzembe uzembe sijui nikwanini? Ebu tuwalee watoto wetu katika hali ya kujiamini na kujitambua katika nyanja tofauti tofauti ili kuliepusha hili kwa vizazi vijavyo.

Mtu aliekuwa na mkataba wakudumu wa ajira bila shaka ni mtu mwenye elimu haijalishi ana daraja gani la elimu. Swala linakuja kama mfanyakazi kwanini usijue haki za msingi za wewe muajiriwa na muajiri wako? Ili kukusadia wewe na kujua wapi unakosea na wapi hautendewi haki kwa mujibu wa sheria.

Jibu hapo ni rahisi tu UVIVU' nasema uvivu kwasababu kuna Act ya SHERIA NA MAHUSIANO KAZINI ambayo mambo yoote hayo yanaelezewa na namna yakushughurikia. Sasa tatizo watu hatupendi kujua mambo' paka yatufike kwanza.

Na kimsingi ni wajibu HR department kutafsiri sheria za kazi kwa wafanyakazi hivyo kutokujua haki zako ni uzembe.

Kingine kwamba wao hawakuwa wanachama wa chama cha wafanyakazi? Maana ni mojawapo ya majukumu ya hivyo vyama!!

Mwisho waende CMA kwaajili ya msaada zaidi!!
 
Watanzania tuna hali yakuto jiamini na uzembe uzembe sijui nikwanini? Ebu tuwalee watoto wetu katika hali ya kujiamini na kujitambua katika nyanja tofauti tofauti ili kuliepusha hili kwa vizazi vijavyo.

Mtu aliekuwa na mkataba wakudumu wa ajira bila shaka ni mtu mwenye elimu haijalishi ana daraja gani la elimu. Swala linakuja kama mfanyakazi kwanini usijue haki za msingi za wewe muajiriwa na muajiri wako? Ili kukusadia wewe na kujua wapi unakosea na wapi hautendewi haki kwa mujibu wa sheria.

Jibu hapo ni rahisi tu UVIVU' nasema uvivu kwasababu kuna Act ya SHERIA NA MAHUSIANO KAZINI ambayo mambo yoote hayo yanaelezewa na namna yakushughurikia. Sasa tatizo watu hatupendi kujua mambo' paka yatufike kwanza.

Na kimsingi ni wajibu HR department kutafsiri sheria za kazi kwa wafanyakazi hivyo kutokujua haki zako ni uzembe.

Kingine kwamba wao hawakuwa wanachama wa chama cha wafanyakazi? Maana ni mojawapo ya majukumu ya hivyo vyama!!

Mwisho waende CMA kwaajili ya msaada zaidi!!

nakushangaa Sana, unawazungumzia vijana wajue sheria za kazi na mahusiano kazini wakati hao waliotimuliwa kwa kustaafishwa kimbwambwa wamestaafishwa na hao hao waliosoma na kuzielewa hizi sheria za kazi na mahusiano kazini. Kama Una msaada WA kisheria useme usianze kulaumu uvivu na uzembe onyesha bidii kusaidia au nawewe mchoyo WA ukijuacho. Think big
 
nakushangaa Sana, unawazungumzia vijana wajue sheria za kazi na mahusiano kazini wakati hao waliotimuliwa kwa kustaafishwa kimbwambwa wamestaafishwa na hao hao waliosoma na kuzielewa hizi sheria za kazi na mahusiano kazini. Kama Una msaada WA kisheria useme usianze kulaumu uvivu na uzembe onyesha bidii kusaidia au nawewe mchoyo WA ukijuacho. Think big

Sawa' endelea kunishangaa tu!! Ukweli unauma' nawewe utakuwa ni mmoja wao.
 
Back
Top Bottom