Wafanyakazi bila madili hatutoboi

Wafanyakazi bila madili hatutoboi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Bila kupiga dili nyama utakula mara moja tu kwa mwezi.

Bila kupiga dili utapanda daladala mpaka makonda wakukariri sura.

Bila kupiga dili huwezi kuwa na banda la biashara

Bila kupiga dili ndugu na jamaa lazima uwazimie simu maana huna cha kuwasaidia.

Tufanye Mshahara wako ni sh. 700,000 ambayo ndiyo take home.

Ukiacha 20 nyumbani kama kodi ya meza unabakiwa na laki 1. Laki moja kuna vocha, nauli, dharula, michango, loss, simu, nguo, watoto shule. Haitoshi kabisa lazima udate.

Ukiacha 15 kama kodi ya meza unabakiwa na 250k . Kuna sadaka, michango, vocha, viatu, dharula, watoto shule, maji , nauli. Taka, ulinzi shirikishi, umeme, kodi ya nyumba.
Lazima udate.

Ukikopa hapo utapata take home sh. Laki 3 . Haya umekopa umefungua biashara imebuma. Au umekopa umejenga huko chanika. Kwa miaka 7 uta survive vipi na laki 3 yako ya take home? Hapo ndio mwanzo wa top up ya Kila mwaka mpaka unastaafu unakufa kwa pressure unazikwa.
 
Bila kupiga dili nyama utakula mara moja tu kwa mwezi.

Bila kupiga dili utapanda daladala mpaka makonda wakukariri sura.

Bila kupiga dili huwezi kuwa na banda la biashara

Bila kupiga dili ndugu na jamaa lazima uwazimie simu maana huna cha kuwasaidia.

Tufanye Mshahara wako ni sh. 700,000 ambayo ndiyo take home.

Ukiacha 20 nyumbani kama kodi ya meza unabakiwa na laki 1. Laki moja kuna vocha, nauli, dharula, michango, loss, simu, nguo, watoto shule. Haitoshi kabisa lazima udate.

Ukiacha 15 kama kodi ya meza unabakiwa na 250k . Kuna sadaka, michango, vocha, viatu, dharula, watoto shule, maji , nauli. Taka, ulinzi shirikishi, umeme, kodi ya nyumba.
Lazima udate.

Ukikopa hapo utapata take home sh. Laki 3 . Haya umekopa umefungua biashara imebuma. Au umekopa umejenga huko chanika. Kwa miaka 7 uta survive vipi na laki 3 yako ya take home? Hapo ndio mwanzo wa top up ya Kila mwaka mpaka unastaafu unakufa kwa pressure unazikwa.
Kwa hiyo unasisitiza wizi makazini?Ngoja mfungwe jela ndiyo akili ziwasogee.
 
Wewe unaona ni haki mbunge wa std 7 kulipwa million 18 kwa mwezi na akistaafu anakula ml. 300 bila kuzungushwa huku afisa manunuzi mwenye shahada analipwa laki 7 kwa mwezi?
Nani hapo anamwibia mwenzake?
Leta dili mkuu achana na hao wanafiki.
Ila isiwe zali ya wiki mbili.
Iwe dili ya siku moja mbili tunapita hivi, kama Albert Mangwea vile
 
📌IMBOMBO NGAFU!!

YAANI HUKU AFRIKA(MAVUMBINI) MTU ANALIPWA HELA AMBAYO HAIENDANI NA HALI YA MAISHA SASA UFANISI,MAADILI NA UBORA WA KAZI UTAPATIKANAJE.

HII NI MAAJABU!!!
 
Back
Top Bottom