Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
Hao wanaume wanapiga tizi my frenUmeiyona picha ya kaka zako wakipigishwa push up?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanaume wanapiga tizi my frenUmeiyona picha ya kaka zako wakipigishwa push up?
Na huyo hapo chini anayepigwa fimbo na pili inamaana hadi kampuni za ulinzi ni za wachina sasa ni Wakenya mna faida gani?Hiyo picha huwa mnaipigia debe lakini binafsi hadi leo sijawahi kuona au kujua nini kibaya hapo, wao hapo ni walinzi wanapigishwa push up, sasa hebu nisaidie kuelewa nini kipya.
Mchina kama ameamua walinzi atakaofanya kazi nao lazima wapitie mafunzo ya ukakamavu, nini tatizo.
Ni tofauti sana na Watanzania wanaopitia kichapo cha karate kila siku na kunyimwa mishahara.
Kwahiyo Wakenya mnapigishwa tizi na Wachina hafu na huyo picha na chini?hao wanaume wanapiga tizi my fren...
😁 akikujibu nipigie simuNa huyo hapo chini anayepigwa fimbo na pili inamaana hadi kampuni za ulinzi ni za wachina sasa ni wakenya mna faida gani?
Na huyo hapo chini anayepigwa fimbo na pili inamaana hadi kampuni za ulinzi ni za wachina sasa ni wakenya mna faida gani?
Kuna Mkenya mwingine amecharazwa bakora juzi baada ya kuchelewa kufika kazini katika hotel anayofanyia kazi huko Nairobi.Watanzania mnaotokwa mishipa usoni mkiwasema Wakenya mbona kwenu hii ni kawaida.
"Ikitokea wakabishana wanawapiga kung-fu na kuwatishia kuwaua kwa risasi....". Angalau hii inasound na iko reasonable kuliko kuchapwa viboko na mwanaume wakati hajakutishia hata na silaha.
Tabu sana mwanaume kucharazwa bakora aisee, na still akatega makalio achapwe bila resistance yoyote!Kupigwa kungfu kama za kwenye movie ni balaa, bora viboko, hayo mavitu huwa hatari yaani unaachwa hoi.
Halafu mnavyotia huruma, yaani baada ya kupigwa hizo karate/kungfu unafukuzwa bila mshahara wala chochote.
Bora nichapwe kungfu kuliko kuweka kalio chini kucharazwa bakora. Tena huyo mwanaume Mkenya alilia wakati anafanya mazungumzo na bosi wake Mchina.Kupigwa kungfu kama za kwenye movie ni balaa, bora viboko, hayo mavitu huwa hatari yaani unaachwa hoi.
Halafu mnavyotia huruma, yaani baada ya kupigwa hizo karate/kungfu unafukuzwa bila mshahara wala chochote.
Bora nichapwe kungfu kuliko kuweka kalio chini kucharazwa bakora. Tena huyo mwanaume Mkenya alilia wakati anafanya mazungumzo na bosi wake Mchina.
Watu wa migodini ni maskini? Unadhani ni migodi ya kuchimba mawe ya ujenzi kama uko Turkana kwenu. Madini yana pesa ndo maana mnakuja Mererani na sisi tunaenda Msumbiji.Sasa kwanza hao maskini migodni labda hawajawahi hata kuona movie wajue kungfu ni kitu gani, wanashangaa wanavyodondoshwa na kupigw mitama...hehehehe nimecheka japo inatia huruma.
Ahhhh wapi, mlivyo maskini migodi yote inatafunwa na mabeberu, nyie mumeachiwa mahandaki tupu.Watu wa migodini ni maskini? Unadhani ni migodi ya kuchimba mawe ya ujenzi kama uko Turkana kwenu. Madini yana pesa ndo maana mnakuja Mererani na sisi tunaenda Msumbiji.
Umesahau kumkumbusha na wale wanne waliouliwa kwa sababu ya karantini na yule alie uliwa nguo mtaani akiwa anaendelea kula viboko vyote Kenya hiyo lakini hakuviona .napia habali inasema wachina watimuliwa kwa kuwapiga wa TZ ingekuwa wanaendelea kuchapa kazi hapo kweli kumu hatua imechukuliwa je wale police waliouwa raia wanne kisa korona wamefanywa nini?Unaenda mbali kwa Wachina ,sisi wa Afrika kwa Waafrika huwa tunafanyana nini ? Unakumbuka majuzi tu South Africa walikuwa wanawafanya nini wahamiaji ?
Ni matukio mangapi yapo Tanzania kwa watu kufia mikononi mwa Jeshi la Polisi ?
Kuna miili ilielea mto ruvu Mwigulu Nchemba akatuambia ni wahamiaji haramu kwamba wana stahili kifo sasa kipi bora kifo au Mkong'oto wa Wachina ?
Majuzi uwanja wa Taifa muandishi alipigwa mpaka akavuliwa nguo halafu IGP anakuja na sababu fyongo za kuwatetea hao polisi ,If these are the priests unategemea nini ?
Ngozi nyeusi laana tu