Wafanyakazi, mishahara ya July vipi?

Nami sijapata hadi leo. Hakuna chakula nyumbani, watoto wamefukuzwa shuleni sababu ya ada, mwenye nyumba anahitaji kodi ya pango, yaani hali ni mbaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…