Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Subiri nyi si wajanja tutawaonesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Subiri nyi si wajanja tutawaonesha
Nyie wenyewe mmesalitiwa.Hatuwezi fanya Huo Ujinga!! Ni
wasaliti pekee wanaweza...
Hawana roho mby kihivyonajua wafanyakaz wengi mtakuwa mmepata nafasi ya kisimamia sensa 2022
chonde chonde sensa ni kwa ajili ya kupanga maendeleo yetu wenyewe ni kama jicho la serikali kujua wapi wapeleke nini
najua kumetokea kanjanja kubwa kwenye mishahara mipya ila isiwakatishe moyo mkaharibu hili zoezi!
kuna vitu Rais either anapigwa chenga makusudi na waziri wake wa fedha maana naye anautaka Urais hata kesho!
sasa asipoangalia kila tamko lake litakuwa linapigwa chini na kuathiri utendaji wa wafanyakazi.
nakumbuka sensa ya 2012 kulikuwa na udanganyifu mwingi hasa nje ya miji huko watu walikuwa wanapita nyumba mbili tu then kungine anapuyanga kumalizia kazi yake.
Wafanyakazi msiangushe zoezi hili