Wafanyakazi msitupigie kelele. Nyongeza ya 20k mnaibeza? Namshauri Rais aihamishie kwenye ruzuku ya mbolea

Wafanyakazi msitupigie kelele. Nyongeza ya 20k mnaibeza? Namshauri Rais aihamishie kwenye ruzuku ya mbolea

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Imenikera! Tena imenikera kweli kweli! (In dikteta's voice). Wakulima tunaishi nchi hii kana kwamba hatuna serikali. Hakuna anayetujali kwa chochote Wala kwa lolote.

Hatukopesheki, hatuna bima ya afya na idadi yetu haijulikwni. Na waliofikisha umri wa miaka 60 (umri wa kustaafu) bado wanalima. Pia hawana pensheni.

Mbolea zimepanda bei, wakati masoko ya mazao yetu hayaeleweki. Hakika wakulima tunaisoma namba.

Halafu anatokea mtu ambaye kazi yake ni kubeba mafaili ofisini (siyo jembe na shoka) kaongezewa elfu 20 bure kabisa na mhe rais analalika eti haitoshi.

Namuomba mhe rais aihamishie hiyo nyongeza (20k) kwenye ruzuku ya mbolea. Rais utakuwa umejua kutufurahisha Sana wakulima.

Rais achana na hawa wafanyakazi wasio na shukurani.
 
We jamaa huna akili kweli.Ungekuwa Nazo ungetambua kuwa hao wazee unaosema hawana bima na blabla nyingine wanawategemea watoto wao ambao ni wafanyakazi kupata mahitaji Yao mbalimbali.

Jua tu Kila mfanyakazi wa Tanzania inayemuona basi nyuma yake anao wategemezi siyo chini ya watano ambao wanategemea huo mshahara. Niishie hapo Kwa Leo.
 
hao wazee unaosema hawana bima na blabla nyingine wanawategemea watoto wao ambao ni wafanyakazi kupata mahitaji Yao mbalimbali.
Acha ujinga. Mishahara yenu yenyewe haikutani . Ni lini mara yako ya mwisho kumtumia mamako elfu 20? Au unadhani mm naishi sayari ya Mars sionani nao?
 
Imenikera! Tena imenikera kweli kweli! (In dikteta's voice). Wakulima tunaishi nchi hii kana kwamba hatuna serikali. Hakuna anayetujali kwa chochote Wala kwa lolote.

Hatukopesheki, hatuna bima ya afya na idadi yetu haijulikwni. Na waliofikisha umri wa miaka 60 (umri wa kustaafu) bado wanalima. Pia hawana pensheni.

Mbolea zimepanda bei, wakati masoko ya mazao yetu hayaeleweki. Hakika wakulima tunaisoma namba.

Halafu anatokea mtu ambaye kazi yake ni kubeba mafaili ofisini (siyo jembe na shoka) kaongezewa elfu 20 bure kabisa na mhe rais analalika eti haitoshi.

Namuomba mhe rais aihamishie hiyo nyongeza (20k) kwenye ruzuku ya mbolea. Rais utakuwa umejua kutufurahisha Sana wakulima.

Rais achana na hawa wafanyakazi wasio na shukurani.
Mkuu umeongea point tupu. Mama kaupiga mwingi. Lakini ikimpendeza aweke nguvu kwenye kilimo. Kilimo ndo shughuli pekee ya uhakika kwa hapa duniani.... bila msosi hakuna jambo lingine lolote linaloweza fanyika na mwanadamu. Mama angeacha kila kitu ndani ya miaka mitano akawekeza kwenye kilimo basi TZ ingekuwa mbali sana.
 
Mkuu umeongea point tupu. Mama kaupiga mwingi. Lakini ikimpendeza aweke nguvu kwenye kilimo. Kilimo ndo shughuli pekee ya uhakika kwa hapa duniani.... bila msosi hakuna jambo lingine lolote linaloweza fanyika na mwanadamu. Mama angeacha kila kitu ndani ya miaka mitano akawekeza kwenye kilimo basi TZ ingekuwa mbali sana.
Wenye maono na akili Kama zako mmebaki wachache sana. Watu wanataka mama aongeze laki 2 kwenye mishara badala ya kushauri ziwekwe kwenye mbolea kama ruzuku.
 
Imenikera! Tena imenikera kweli kweli! (In dikteta's voice). Wakulima tunaishi nchi hii kana kwamba hatuna serikali. Hakuna anayetujali kwa chochote Wala kwa lolote.

Hatukopesheki, hatuna bima ya afya na idadi yetu haijulikwni. Na waliofikisha umri wa miaka 60 (umri wa kustaafu) bado wanalima. Pia hawana pensheni.

Mbolea zimepanda bei, wakati masoko ya mazao yetu hayaeleweki. Hakika wakulima tunaisoma namba.

Halafu anatokea mtu ambaye kazi yake ni kubeba mafaili ofisini (siyo jembe na shoka) kaongezewa elfu 20 bure kabisa na mhe rais analalika eti haitoshi.

Namuomba mhe rais aihamishie hiyo nyongeza (20k) kwenye ruzuku ya mbolea. Rais utakuwa umejua kutufurahisha Sana wakulima.

Rais achana na hawa wafanyakazi wasio na shukurani.
Kilimo?Una shamba?Hata kama una shamba,ndipo ulipochagua.Waache walio maofisi ya umma walalame tani yao.Wanyimwe nyongeza ya kutosha halafu weye uwapangie kiasi cha kununa?Acha kuchekesha.Kiatu humbana aliyevaa.
 
Una wivu weweee utakufa maskini😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Una wivu weweee utakufa maskini😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Siyo wivu ni maono hayo. Sema ndo hivo tena msitu ukitizamwa na mfugaji anaona machungio ya mifugo lkn msitu huo huo ukitizamwa na mjenzi anaona mbao.

Wewe kwa jicho lako la chuki umeona wivu
 
Kikikubana si ukuache? Kelele za Nini Sasa? Kama mshahara unauona ni mdogo acha kazi safisha Hilo povu kinywani mwako
Si lazima akiache.Ana maamuzi yake.Anaweza hata kukikata nyuma kwenye kisigino na akakivaa kama sandal.Usiwapangie.Weye endelea kupalilia mihogo.
 
Imenikera! Tena imenikera kweli kweli! (In dikteta's voice). Wakulima tunaishi nchi hii kana kwamba hatuna serikali. Hakuna anayetujali kwa chochote Wala kwa lolote.

Hatukopesheki, hatuna bima ya afya na idadi yetu haijulikwni. Na waliofikisha umri wa miaka 60 (umri wa kustaafu) bado wanalima. Pia hawana pensheni.

Mbolea zimepanda bei, wakati masoko ya mazao yetu hayaeleweki. Hakika wakulima tunaisoma namba.

Halafu anatokea mtu ambaye kazi yake ni kubeba mafaili ofisini (siyo jembe na shoka) kaongezewa elfu 20 bure kabisa na mhe rais analalika eti haitoshi.

Namuomba mhe rais aihamishie hiyo nyongeza (20k) kwenye ruzuku ya mbolea. Rais utakuwa umejua kutufurahisha Sana wakulima.

Rais achana na hawa wafanyakazi wasio na shukurani.

Mbengo zime fongoka
 
Back
Top Bottom