mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
We jamaa huna akili kweli.Ungekuwa Nazo ungetambua kuwa hao wazee unaosema hawana bima na blabla nyingine wanawategemea watoto wao ambao ni wafanyakazi kupata mahitaji Yao mbalimbali.
Jua tu Kila mfanyakazi wa Tanzania inayemuona basi nyuma yake anao wategemezi siyo chini ya watano ambao wanategemea huo mshahara. Niishie hapo Kwa Leo.
Kumbe unajua haikutani halafu 20k unaiona nyingi[emoji16][emoji16] wewe kweli una wivu wa kiwango cha kuweza kuusAcha ujinga. Mishahara yenu yenyewe haikutani . Ni lini mara yako ya mwisho kumtumia mamako elfu 20? Au unadhani mm naishi sayari ya Mars sionani nao?
We jamaa huna akili kweli.Ungekuwa Nazo ungetambua kuwa hao wazee unaosema hawana bima na blabla nyingine wanawategemea watoto wao ambao ni wafanyakazi kupata mahitaji Yao mbalimbali.
Jua tu Kila mfanyakazi wa Tanzania inayemuona basi nyuma yake anao wategemezi siyo chini ya watano ambao wanategemea huo mshahara. Niishie hapo Kwa Leo.
Safi sanaSerikali kaziyake sio kuongeza mishahara kwa wafanyakazi kiasi cha kuwatosha na kuhudumia dependants wengine kijijini.