Wafanyakazi sasa kujiachia na Riba hadi asilimia 14 kutoka benki ya CRDB

Wafanyakazi sasa kujiachia na Riba hadi asilimia 14 kutoka benki ya CRDB

Benki ya CRDB imezindua kampeni maalumu ijulikanayo kama “Jiachie Utakavyo” ambapo wafanyakazi wa sekta ya umma na binafsi sasa kufurahia riba ya hadi asilimia 14. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na Wakati, Boma Raballa alisema benki imefanya maboresho makubwa katika mikopo ya wafanyakazi ili kuwapa unafuu na kuwawezesha kufikia malengo yao waliyojiwekea.

“Jiachie Utakavyo inamaanisha kuwa wafanyakazi sasa wana wigo mpana zaidi wa kukopa, kwa gharama nafuu, kwa muda mrefu na uhuru wa kuchagua wanachotaka,” alisema Boma Raballa. Raballa alisema pamoja na kumpa uhuru mteja wa kujiachia kwa kuutumia mkopo atakavyo, Benki ya CRDB pia imempa uhuru mteja kuchagua muda wa kulipa mkopo anaoendana na matakwa yake na kiwango cha riba anachotaka kulipa.

“Kwenye jiachie utakavyo mteja ana uhuru wa kuchagua muda wa kulipa iwe ni mwaka 1, 2, 3, mpaka 7, na vivile mteja atakuwa anachagua riba anayotaka kuanzia asilimia 14 mpaka 16,” alisema Boma Raballa huku akibainisha kuwa kampeni hiyo ya “Jiachie Utakavyo” inawapa fursa wafanyakazi kukopa hadi shilingi milioni 100.

Akizungumzia kuhusiana na maboresho hayo ya mikopo ya wafanyakazi, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Stephen Adili alisema Benki ya CRDB inatambua mchango mkubwa unaotolewa na wafanyakazi wa taasisi za Umma mna sekta binafsi, hivyo basi maboresho hayo ni motisha kwa wafanyakazi kusaidia kufikia malengo yao.

“Tunafahamu changamoto tulizopitia katika kipindi hiki, na wafanyakazi wetu wamekuwa mstari wa mbele kukatika kutuhudumia katika kila nyanja, kampeni hii ya Jiachie Utakavyo ni sehemu ya shukrani kwa wafanyakazi wote, lakini pia kuwasaidia kufikia malengo yao,” alisema Adili.

Kwa upande wake Meneja mwandamizi Mikopo ya Wafanyakazi, Farida Hamza alitumia fursa hiyo kuwakaribisha wafanyakazi wote nchini kuchangamkia fursa hiyo ya “Jiachie Utakavyo”, huku akibainisha kuwa mteja ana uhuru wa kutumia mikopo hiyo atakavyo ikiwa ni pamoja na kulipia ada za Watoto, kijiendeleza kimasomo, kuanzisha na kuendeleza biashara na matumizi mengine apendayo.

“Mikopo hii si kwa wateja wa Benki ya CRDB tu ni kwa wafanyakazi wote nchini, kama mfanyakazi anamkopo benki nyengine, Benki ya CRDB inautaratibu wa kununua mikopo ili kuwafanya wafanyakazi wote waweze kujiachia watakavyo na Benki yao pendwa ya CRDB,” alisema Farida huku akibainisha mikopo hiyo inatolewa ndani ya saa 24 mteja napokamilisha maombi ya mkopo.

Ili kupata mkopo huo wafanyakazi wanatakiwa kutembelea tawi la Benki ya CRDB lililo karibu na kujaza fomu ya maombi ya mkopo ambapo atatakiwa kuambatanisha vielelezo vifuatavyo; Kitambulisho kinachotambuliwa - cha utaifa/ kura/ leseni ya udereva na kitambulisho cha kazi, Hati ya mshahara (Salary slip) iliyothibitishwa kwa kipindi cha miezi mitatu, Mkataba wa kazi/ barua ya uteuzi, barua ya utambulisho, barua ya uthibitisho kazini.

FDR yao ni kiasi gani, 12%?
 
Ubaya wafanyakazi wengi wakikopa huishia kununua magari
Umenikumbusha stori za akina kapelo gazetini; rafiki yake Kapelo anamlalamikia Kapelo kwa jamaa mwingine anasema "najua sana, Kapelo akichukua mkopo kazi ni kulewea tu", halafu yule aliyekuwa akielezwa akajibu MIMI PIA NINA MPANGO WA KUCHUKUA MKOPO LAKINI NITAULEWEA KWA AKILI SANA

Kwa hiyo ndugu mchangiaji mada, mimi nami napenda kukujulisha kuwa ninao huo mpango wa kukopa ili ninunue gari, ila nitanunua kwa kutumia akili sana. Sina gari, sasa nifanyeje?
 
Mbona hamna hata jipya hapo,kwanza ajita zenyewe zinakatizwa halafu mtu anakuja kukuambia uchukue mkopo,makampuni yenyewe hoi bin taabani.
 
Vipi kwa Wafanyabiashara?
Huku wanakamua mno.

Mwenye updates atujuze
 
Benki ya CRDB imezindua kampeni maalumu ijulikanayo kama “Jiachie Utakavyo” ambapo wafanyakazi wa sekta ya umma na binafsi sasa kufurahia riba ya hadi asilimia 14. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na Wakati, Boma Raballa alisema benki imefanya maboresho makubwa katika mikopo ya wafanyakazi ili kuwapa unafuu na kuwawezesha kufikia malengo yao waliyojiwekea.

“Jiachie Utakavyo inamaanisha kuwa wafanyakazi sasa wana wigo mpana zaidi wa kukopa, kwa gharama nafuu, kwa muda mrefu na uhuru wa kuchagua wanachotaka,” alisema Boma Raballa.

Raballa alisema pamoja na kumpa uhuru mteja wa kujiachia kwa kuutumia mkopo atakavyo, Benki ya CRDB pia imempa uhuru mteja kuchagua muda wa kulipa mkopo anaoendana na matakwa yake na kiwango cha riba anachotaka kulipa.

“Kwenye jiachie utakavyo mteja ana uhuru wa kuchagua muda wa kulipa iwe ni mwaka 1, 2, 3, mpaka 7, na vivile mteja atakuwa anachagua riba anayotaka kuanzia asilimia 14 mpaka 16,” alisema Boma Raballa huku akibainisha kuwa kampeni hiyo ya “Jiachie Utakavyo” inawapa fursa wafanyakazi kukopa hadi shilingi milioni 100.

Akizungumzia kuhusiana na maboresho hayo ya mikopo ya wafanyakazi, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Stephen Adili alisema Benki ya CRDB inatambua mchango mkubwa unaotolewa na wafanyakazi wa taasisi za Umma mna sekta binafsi, hivyo basi maboresho hayo ni motisha kwa wafanyakazi kusaidia kufikia malengo yao.

“Tunafahamu changamoto tulizopitia katika kipindi hiki, na wafanyakazi wetu wamekuwa mstari wa mbele kukatika kutuhudumia katika kila nyanja, kampeni hii ya Jiachie Utakavyo ni sehemu ya shukrani kwa wafanyakazi wote, lakini pia kuwasaidia kufikia malengo yao,” alisema Adili.

Kwa upande wake Meneja mwandamizi Mikopo ya Wafanyakazi, Farida Hamza alitumia fursa hiyo kuwakaribisha wafanyakazi wote nchini kuchangamkia fursa hiyo ya “Jiachie Utakavyo”, huku akibainisha kuwa mteja ana uhuru wa kutumia mikopo hiyo atakavyo ikiwa ni pamoja na kulipia ada za Watoto, kijiendeleza kimasomo, kuanzisha na kuendeleza biashara na matumizi mengine apendayo.

“Mikopo hii si kwa wateja wa Benki ya CRDB tu ni kwa wafanyakazi wote nchini, kama mfanyakazi anamkopo benki nyengine, Benki ya CRDB inautaratibu wa kununua mikopo ili kuwafanya wafanyakazi wote waweze kujiachia watakavyo na Benki yao pendwa ya CRDB,” alisema Farida huku akibainisha mikopo hiyo inatolewa ndani ya saa 24 mteja napokamilisha maombi ya mkopo.

Ili kupata mkopo huo wafanyakazi wanatakiwa kutembelea tawi la Benki ya CRDB lililo karibu na kujaza fomu ya maombi ya mkopo ambapo atatakiwa kuambatanisha vielelezo vifuatavyo; Kitambulisho kinachotambuliwa - cha utaifa/ kura/ leseni ya udereva na kitambulisho cha kazi, Hati ya mshahara (Salary slip) iliyothibitishwa kwa kipindi cha miezi mitatu, Mkataba wa kazi/ barua ya uteuzi, barua ya utambulisho, barua ya uthibitisho kazini.
Hapo kwenye kununua mikopo rekebisheni kidogo.Nilienda moja ya branch zenu niwauzie deni wakasema hadi deni lipungue kufikia nusu ya hela unayotarajia kukopa.
Nyie nunueni deni mradi linalipika na mkopaji kupata kiasi kidogo inatosha.Wakopaji wengine wanatamani tu jina la crdb lisomeke kwenye salary slip,nmb itoke.
Kubwa ni kutokana na mishahara kutopanda kwa mda mrefu,deni huchukua mda mrefu kupungua.
 
Only stupid person will trust these announcement.
Kwa ambao tumewahi kukopa kwenye mabenki mara nyingi tunajua. Hawa UVCCM ambao kazi yao kubwa ni kushangilia tu hawajui kitu
 
Only stupid person will trust these announcement.
Kwa ambao tumewahi kukopa kwenye mabenki mara nyingi tunajua. Hawa UVCCM ambao kazi yao kubwa ni kushangilia tu hawajui kitu
[emoji23] vijana mnachuki Sana na hiki chama
 
Nna mashaka na hiyo asilimia.Nahisi kinachotangazwa na uhalisia ni tofauti.
 
Hahahahaha kuna jamaa yangu alichukua milion 15, inatakiwa arudishe milion 25,600,000b for the period of six years, ukiangalia kwa undani hapo liba ni asilimia 60 na sio kama wanavyodai eti 16%
 
Benki ya CRDB imezindua kampeni maalumu ijulikanayo kama “Jiachie Utakavyo” ambapo wafanyakazi wa sekta ya umma na binafsi sasa kufurahia riba ya hadi asilimia 14. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na Wakati, Boma Raballa alisema benki imefanya maboresho makubwa katika mikopo ya wafanyakazi ili kuwapa unafuu na kuwawezesha kufikia malengo yao waliyojiwekea.

“Jiachie Utakavyo inamaanisha kuwa wafanyakazi sasa wana wigo mpana zaidi wa kukopa, kwa gharama nafuu, kwa muda mrefu na uhuru wa kuchagua wanachotaka,” alisema Boma Raballa. Raballa alisema pamoja na kumpa uhuru mteja wa kujiachia kwa kuutumia mkopo atakavyo, Benki ya CRDB pia imempa uhuru mteja kuchagua muda wa kulipa mkopo anaoendana na matakwa yake na kiwango cha riba anachotaka kulipa.

“Kwenye jiachie utakavyo mteja ana uhuru wa kuchagua muda wa kulipa iwe ni mwaka 1, 2, 3, mpaka 7, na vivile mteja atakuwa anachagua riba anayotaka kuanzia asilimia 14 mpaka 16,” alisema Boma Raballa huku akibainisha kuwa kampeni hiyo ya “Jiachie Utakavyo” inawapa fursa wafanyakazi kukopa hadi shilingi milioni 100.

Akizungumzia kuhusiana na maboresho hayo ya mikopo ya wafanyakazi, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Stephen Adili alisema Benki ya CRDB inatambua mchango mkubwa unaotolewa na wafanyakazi wa taasisi za Umma mna sekta binafsi, hivyo basi maboresho hayo ni motisha kwa wafanyakazi kusaidia kufikia malengo yao.

“Tunafahamu changamoto tulizopitia katika kipindi hiki, na wafanyakazi wetu wamekuwa mstari wa mbele kukatika kutuhudumia katika kila nyanja, kampeni hii ya Jiachie Utakavyo ni sehemu ya shukrani kwa wafanyakazi wote, lakini pia kuwasaidia kufikia malengo yao,” alisema Adili.

Kwa upande wake Meneja mwandamizi Mikopo ya Wafanyakazi, Farida Hamza alitumia fursa hiyo kuwakaribisha wafanyakazi wote nchini kuchangamkia fursa hiyo ya “Jiachie Utakavyo”, huku akibainisha kuwa mteja ana uhuru wa kutumia mikopo hiyo atakavyo ikiwa ni pamoja na kulipia ada za Watoto, kijiendeleza kimasomo, kuanzisha na kuendeleza biashara na matumizi mengine apendayo.

“Mikopo hii si kwa wateja wa Benki ya CRDB tu ni kwa wafanyakazi wote nchini, kama mfanyakazi anamkopo benki nyengine, Benki ya CRDB inautaratibu wa kununua mikopo ili kuwafanya wafanyakazi wote waweze kujiachia watakavyo na Benki yao pendwa ya CRDB,” alisema Farida huku akibainisha mikopo hiyo inatolewa ndani ya saa 24 mteja napokamilisha maombi ya mkopo.

Ili kupata mkopo huo wafanyakazi wanatakiwa kutembelea tawi la Benki ya CRDB lililo karibu na kujaza fomu ya maombi ya mkopo ambapo atatakiwa kuambatanisha vielelezo vifuatavyo; Kitambulisho kinachotambuliwa - cha utaifa/ kura/ leseni ya udereva na kitambulisho cha kazi, Hati ya mshahara (Salary slip) iliyothibitishwa kwa kipindi cha miezi mitatu, Mkataba wa kazi/ barua ya uteuzi, barua ya utambulisho, barua ya uthibitisho kazini.
Mikopo mizuri,ila kwenye kununua madeni wanakosea,hadi deni liwe pungufu ya nusu ya fedha inayokopwa.
Kama ni kujiachia waachilie sasa.
 
Benki ya CRDB imezindua kampeni maalumu ijulikanayo kama “Jiachie Utakavyo” ambapo wafanyakazi wa sekta ya umma na binafsi sasa kufurahia riba ya hadi asilimia 14. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na Wakati, Boma Raballa alisema benki imefanya maboresho makubwa katika mikopo ya wafanyakazi ili kuwapa unafuu na kuwawezesha kufikia malengo yao waliyojiwekea.

“Jiachie Utakavyo inamaanisha kuwa wafanyakazi sasa wana wigo mpana zaidi wa kukopa, kwa gharama nafuu, kwa muda mrefu na uhuru wa kuchagua wanachotaka,” alisema Boma Raballa. Raballa alisema pamoja na kumpa uhuru mteja wa kujiachia kwa kuutumia mkopo atakavyo, Benki ya CRDB pia imempa uhuru mteja kuchagua muda wa kulipa mkopo anaoendana na matakwa yake na kiwango cha riba anachotaka kulipa.

“Kwenye jiachie utakavyo mteja ana uhuru wa kuchagua muda wa kulipa iwe ni mwaka 1, 2, 3, mpaka 7, na vivile mteja atakuwa anachagua riba anayotaka kuanzia asilimia 14 mpaka 16,” alisema Boma Raballa huku akibainisha kuwa kampeni hiyo ya “Jiachie Utakavyo” inawapa fursa wafanyakazi kukopa hadi shilingi milioni 100.

Akizungumzia kuhusiana na maboresho hayo ya mikopo ya wafanyakazi, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Stephen Adili alisema Benki ya CRDB inatambua mchango mkubwa unaotolewa na wafanyakazi wa taasisi za Umma mna sekta binafsi, hivyo basi maboresho hayo ni motisha kwa wafanyakazi kusaidia kufikia malengo yao.

“Tunafahamu changamoto tulizopitia katika kipindi hiki, na wafanyakazi wetu wamekuwa mstari wa mbele kukatika kutuhudumia katika kila nyanja, kampeni hii ya Jiachie Utakavyo ni sehemu ya shukrani kwa wafanyakazi wote, lakini pia kuwasaidia kufikia malengo yao,” alisema Adili.

Kwa upande wake Meneja mwandamizi Mikopo ya Wafanyakazi, Farida Hamza alitumia fursa hiyo kuwakaribisha wafanyakazi wote nchini kuchangamkia fursa hiyo ya “Jiachie Utakavyo”, huku akibainisha kuwa mteja ana uhuru wa kutumia mikopo hiyo atakavyo ikiwa ni pamoja na kulipia ada za Watoto, kijiendeleza kimasomo, kuanzisha na kuendeleza biashara na matumizi mengine apendayo.

“Mikopo hii si kwa wateja wa Benki ya CRDB tu ni kwa wafanyakazi wote nchini, kama mfanyakazi anamkopo benki nyengine, Benki ya CRDB inautaratibu wa kununua mikopo ili kuwafanya wafanyakazi wote waweze kujiachia watakavyo na Benki yao pendwa ya CRDB,” alisema Farida huku akibainisha mikopo hiyo inatolewa ndani ya saa 24 mteja napokamilisha maombi ya mkopo.

Ili kupata mkopo huo wafanyakazi wanatakiwa kutembelea tawi la Benki ya CRDB lililo karibu na kujaza fomu ya maombi ya mkopo ambapo atatakiwa kuambatanisha vielelezo vifuatavyo; Kitambulisho kinachotambuliwa - cha utaifa/ kura/ leseni ya udereva na kitambulisho cha kazi, Hati ya mshahara (Salary slip) iliyothibitishwa kwa kipindi cha miezi mitatu, Mkataba wa kazi/ barua ya uteuzi, barua ya utambulisho, barua ya uthibitisho kazini.
Tafadharini jaman tunaomba mrejesho wa punguzo hilo Kama limeanza kutekelezwa
Maana na mimi soon nitajilipua ninue gari
 
Back
Top Bottom